Tuesday, February 28, 2012

MARCH 13 EVENTS IN HISTORY (MACHI 13 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 13, 1938: Clarence Seward Darrow, mmoja wa wanasheria maarufu zaidi kupata kuishi, anafariki. Anakumbukwa hasa kwa kipaji kikubwa cha kuongea ambapo kile alichokiongea mara zote kilisisimua sana. Anakumbukwa kwa kumtetea mwalimu mmoja, John T. Scopes katika kesi maarufu ya Scopes "Monkey" Trial (1925).

No comments:

Post a Comment