Tuesday, March 6, 2012

JANUARY 20 EVENTS (MELISSA RIVERS' BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) George Burns
(b) Huddie Ledbetter
(c) Melissa Rivers

JANUARY 21 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) Thomas “Stonewall” Jackson
(b) Hakeem Olajuwon
(c) Izabella Miko

JANUARY 22 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) Sir Francis Bacon
(b) Robert Ervin Howard (1906)[ American author who wrote pulp fiction; Best known for his character Conan the Barbarian ; Father of the sword and sorcery subgenre.

DEATHS
Lyndon B. Johnson (1973)

JANUARY 23 EVENTS

BIRTHS

(a) John Hancock
(b) Tiffany-Amber Thiessen

JANUARY 24 EVENTS (SIR WINSTON CHURCHILL'S DEATH)

A. DEATHS
SIR WINSTON CHURCHILL (DIED JANUARY 24, 1965)

B. BIRTHDAYS
(a) Edith Wharton
(b) Tatyana Ali

JANUARY 25 EVENTS (ALICIA KEYS' BIRTHDAY)

(a) Alicia Keys (Alicia Augello Cook)[1981]
(b) Robert Burns

JANUARY 26 EVENTS

BIRTHS:

(a) Douglas Arthur
(b) Paul Newman
(c) Angela Davis
(d) Ellen De Generes
(e) Kirk Franklin

JANUARY 27 EVENTS

BIRTHDAYS:

(a) Mozart
(b) Carroll Lewis
(c) Bridget Fonda

JANUARY 28 EVENTS

BIRTHS:
(a) Carlos Slim (1940)
(b) Sarkozy (1955)
(c) Rick Warren (1954)
(d) Elijah Wood
(e) Nick Carter

JANUARY 29 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) William McKinley (1843)
(b) W.C. Fields (1880)
(c) John Forsythe

JANUARY 30 EVENTS

BIRTHDAYS
(a) Franklin Delano Roosevelt (1882)
(b) Phil Collins
(c) Dick Cheney
(d) Robert Marriott

JANUARY 31 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) Eddie Cantor
(b) Justin Timberlake

FEBRUARY 1 EVENTS

BIRTHDAYS
(a) Lisa Marie Presley (1968)
(b) Langston Hughes
(c) John Ford
(d) Boris Yeltsin
(e) Big Boi

FEBRUARY 2 EVENTS (WOODROW WILSON'S DEATH; SHAKIRA'S BIRTHDAY)

BIRTHDAYS
(a) Shakira (1977)

DEATHS
Woodrow Wilson (1924)[14 POINTS]

FEBRUARY 3 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) Gertrude Stein (1874)
(b) Maura Tierney (1965)

FEBRUARY 4 EVENTS (ROSA PARKS BIRTHDAY; OSCAR DE LA HOYA BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) Rosa Parks (1913)
(b) Oscar De La Hoya (1973)
(c) Natalia Imbruglia (1976)
(d) Charles Lindebergh

FEBRUARY 5 EVENTS (JENNIFER JASON LEIGH'S BIRTHDAYS; RONALDO'S BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) Cristian Ronaldo (1985)
(b) Henry “Aaron” Hank
(c) Jennifer Jason Leigh
(d) Michael Sheen

FEBRUARY 6 BIRTHDAYS (BOB MARLEY, REAGAN, EVA BRAUN, DAISY MARIE)

(a) Ronald Wilson Reagan (1911)
(b) Bob Marley
(c) Babe Ruth
(d) Aaron Burr
(e) Eva Braun (1912)
(f) Daisy Marie (1984)[Porn Star]

FEBRUARY 7 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) Charles Dickens
(b) Chris Rock
(c) Garth Brooks
(d) Ashton Kutcher

FEBRUARY 8 EVENTS (JOHN GRISHAM'S BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) John Grisham (1955)
(b) Willam T. Sherman

FEBRUARY 9 EVENTS

BIRTHDAYS:

(a) William Henry Harrison (1773)
(b) Amy Lowell
(c) Ronald Colman
(d) Carole King

FEBRUARY 10 EVENTS

BIRTHDAYS

(a) Harold Macmillan (1894)
(b) Robert Wagner
(c) Glenn Beck
(d) Emma Roberts
(e) Laura Dern

FEBRUARY 11 EVENTS (KELLY ROWLAND'S BIRTHDAY)

(a) Thomas Alva Edison
(b) Kelly Rowland
(c) Brandy
(d) Jennifer Aniston

FEBRUARY 12 EVENTS (ABRAHAM LINCOLN'S BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) Abraham Lincoln (1809)
(b) Charles Darwin (1809)
(c) Jennifer Stone

FEBRUARY 13 EVENTS (JERRY SPRINGER'S BIRTHDAY)

BIRTHDAYS
(a) Jerry Springer
(b) Kim Novak

FEBRUARY 14 EVENTS (MICHAEL BLOOMBERG'S BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) Frederick Douglass
(b) Michael Bloomberg
(c) Jimmy Hoffa

FEBRUARY 15 EVENTS

A. BIRTHDAYS
(a) Galileo Galilei

B. DEATHS
(b) Lord ASQUITH (Decided the famous case of Carlill v. Carbolic Smoke Ball Company) [Died FEBRUARY 15, 1893])
(c) Nat “King” Cole (Died FEBRUARY 15,1965)

FEBRUARY 16 EVENTS (ELIZABETH OLSEN BIRTHDAY)

(a) Bono
(b) Ice T
(c) Edgar Bergen
(d) Hugh Beaumont
(e) Elizabeth Olsen

FEBRUARY 17 EVENTS (PARIS HILTON BIRTHDAY)

BIRTHDAYS

(a) Paris Hilton
(b) Denise Richards

FEBRUARY 18 EVENTS

BIRTHDAYS:

(a) John Travolta
(b) Dr. Dre
(c) Matt Dillon

FEBRUARY 19 EVENTS

(a) Copernicus
(b) Seal

FEBRUARY 20 EVENTS (RIHANNA BIRTHDAY)

BIRTHDAYS:

(a) Rihanna
(b) Sidney Poitier
(c) Ivana Trump

FEBRUARY 21 EVENTS

BIRTHS

(a) Robert Mugabe
(b) Barbara Jordan

FEBRUARY 22 EVENTS

BIRTHDAYS:
(a) George Washington (1732)
(b) John Mills
(c) Steve Irwin (Crocodiles Hunter)
(d) Drew Barrymore
(e) Vijay Singh

FEBRUARY 23 EVENTS

A. BIRTHDAYS
(a) WEB DuBois
(b) Michael Dell

B. DEATHS
John Quincy Adams (1848)

FEBRUARY 24 EVENTS

BIRTHS:
Gabriella Fox (1989)

FEBRUARY 26 EVENTS

BIRTHDAYS:
(a) Erykah Badu
(b) Victor Hugo
(c) Micharel Bolton
(d) Johnny Cash

FEBRUARY 25 EVENTS

BIRTHDAYS:

(a) Adelle
(b) Pierre Lenoi

FEBRUARY 26 BIRTHDAYS

(a) Erykah Badu
(b) Victor Hugo
(c) Micharel Bolton
(d) Johnny Cash

FEBRUARY 27 EVENTS

BIRTHDAYS:

(a) Liz Taylor
(b) Ralph Nader
(c) Chelsea Clinton

FEBRUARY 28 EVENTS

BIRTHS:

(a) Linus Pauling (1901)
(b) Gilbert Gottfried (1955)

FEBRUARY 29 EVENTS

BIRTHS:
(a) Ja Rule

MARCH 1 EVENTS

(a) Robert Conrad
(b) Justine Bieber

MARCH 2 EVENTS

Births:

(a) Mikahil Gorbachev
(b) Jon Bon Jovi
(c) Dr. Seuss

MARCH 3 EVENTS

births:

(a) Alexander Graham Bell
(b) Jessica Biel (1982)

MARCH 4 EVENTS

Miriam makeba (1932) birthday.

MARCH 5 EVENTS

(a) Eva Mendes (1974) BIRTHDAY

MARCH 6 EVENTS

(a) Michelangelo birthday (1475)
(b) Shaquille O’Neil birthday (1972)
(c) Elizabeth Browning birthday (1475)

Tuesday, February 28, 2012

MARCH 7 EVENTS IN HISTORY (MACHI 7 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 7

* Machi 7, 1994: Charles Taylor anajiuzulu Urais wa Liberia.

* Machi 7,1994: Nelson Mandela wa Chama cha ANC cha Afrika ya Ksuini analikataa pendekezo lililotolewa na wazungu wenye makaburu wenye msimamo mkali waliotaka nchi hito igawanywe sehemu mbili za kuishi Wazungu na weusi.

* Machi 7, 1989: Iran inavunja uhusiano wa kibalozi na Uingereza kutokana n a Uingereza kumpa kumlinda na kumpa hifadhi ya kisiasa mwandishi Salman Rushdie aliyeandia kitabu cha “Aya za Shetani” ambacho kinadaiwa kukashifu kitabu kitakatifu cha Waislamu cha Kurani na Mtume Muhammad S.A.W

* Machi 7, 1997: Magic Johnson, mchezaji maarufu wa mpira wa vikapu wa Marekani anakuwa binadamu wa pili na mchezaji wa ligi ya kutoa pasi inayosaidia kufungwa kwa goli la 10,000 katika ligi hiyo maarufu.

199

* Machi 7, 1955: Al-Waleed bin Talal,, mfanyabiashara bilionea wa kiatrabu aliyezaliwa familia ya kifalme ya Saudi Arabia anazaliwa.

* Machi 7, 1693: Papa Clement XIII anazaliwa.

MARCH 8 EVENTS IN HISTORY (MACHI 8 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

ITAKUJA MUDA

MARCH 9 EVENTS IN HISTORY (MACHI 9 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 9 historia
*Machi 9, 2005: Jakaya Kikwete, Waziri wa mambo ya Nje wakati huu
anasema kuwa angekuwa mpiga debe mkuu wa Rais Mkapa anayemaliza muda
wake kama katiba ya nchi ingeruhusu aongezewe muda wa kutawala.
*Machi 9, 2005: John Malecela, Makamu mwenyekiti CCM Malecela anakataa
kupeperusha bendera ya CCVM katika gari lake wakati wa zoezi la
kutafuta wadhamini kugombea urais mjini Mbeya
*Machi 9, 2005: Mbunge wa Mtwara Mjini (CCM) alhaji Ahmed Mpeme
anatangaza kutogombea tena ubunge.
*Machi 9, 1983: Joshua Nkomo: Mwanasiasa wa upinzani wa Zimbabwe
anakimbilia uhamishoni Botswana.
*Machi 9, 1980: Mwanamuziki maarufu mweusi wa Marekani, Chingy (jina
halisi Howard Bailey, Jr) anazaliwa.
*Machi 9, 1791: George Hayward, mwanasayansi na daktari maarufu na wa
kwanza kutumia kemikali ya ganzi ya Ether wakati wa kufanya upasuaji,
anazaliwa.
*Machi 9, 1564: David Fabricius: Mwanasayansi na Mnajimu aliyevumbua
nyota yenye tabia ya kubadilika anazaliwa.

MARCH 10 EVENTS IN HISTORY (MACHI 10 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

INAANDALIWA

MARCH 11 EVENTS IN HISTORY (MACHI 11 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

NAITAFITI

MARCH 13 EVENTS IN HISTORY (MACHI 13 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 13, 1938: Clarence Seward Darrow, mmoja wa wanasheria maarufu zaidi kupata kuishi, anafariki. Anakumbukwa hasa kwa kipaji kikubwa cha kuongea ambapo kile alichokiongea mara zote kilisisimua sana. Anakumbukwa kwa kumtetea mwalimu mmoja, John T. Scopes katika kesi maarufu ya Scopes "Monkey" Trial (1925).

MARCH 12 EVENTS IN HISTORY (MACHI 12 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 12
*Machi 12, 1985: Mahakama ya Rufaa ya Tanzania inasisitiza tena kuwa
sheria za kimila zina nafasi muhimu katika mfumo wa sheria na haki
Tanzania. Ni katika kesi ya Maagwi Kimito v. Gibena Werema.
*Machi 12, 1976: Majeshi ya makaburu wa Afrika ya Kusini yanaondoka
kutoka Angola.
*Machi 12, 1964: Malcolm X, mawanaharakti maarufu wa haki za weusi
anajiondoa kutoka katika kikundi cha National of Islam cha Marekani.
*Machi 12, 1938: Majeshi ya NAZI nchini ya Adolf Hitler yanaivamia Austria.
*Machi 13, 1977: Rais Anwar Sadat wa Misri anaapa kurejeshwa kwa ardhi
ya Waarabu kutoka kwa Wa-Israeli.
*Machi 12, 1980: John Wayne Gacy, mmoja wa wahalifu maarufu zaidi
waliopata kuishihuko Marekani anatiwa hatiani kwa kuua watu 33 huko
Chicago..
1969: Paul McCartney anafunga ndoa na Linda Louise Eastman.

MARCH 14 EVENTS IN HISTORY (MACHI 14 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

INAKUJA. SUBIRI.

MARCH 15 EVENTS IN HISTORY (MACHI 15 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 15 Historia
*Machi 15, 1984: Mabadiliko ya Tano Katiba ya Tanzaniaya Mwaka 1977
yanaingiza Haki za Binadamu (Bill of Rights) katika mwaka huo huo
ambapo Zanzibar inapata Katiba yake mpya.
*Machi 15, 2005: Taratibu za mazishi ya aliyekuwa Mbunge wa Muungano
na Waziri wa mambo ya nje ya Tanzania, Balozi Ahmed Hassan Diria
zinakamilika.
*Machi 15, Eva Longoria, mcheza sinema na televisheni maarufu wa
Marekani kupitia mfululizo wa tamthiliya ya kweli ya Desperate
Housewives anazaliwa.
*Machi 15, 1767: Andrew Jackson, Rais wa zamani wa Marekani, anazaliwa.
*Machi 15,1981 : Young Buck, mwanamuziki mashuhuri wa kundi la G-Unit
la Marekani, anazaliwa.
*Machi 15,1933: Ruth Bader Ginsburg, Mmoja wa Majaji wa mahakama ya
Juu zaidi ya Marekani, anazaliwa.
*Machi 15, 1974: Rais Garastazu Medici wa Brazil anajiuzulu.

MARCH 16 EVENTS IN HISTORY (MACHI 16 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

INAKUJA. SUBIRIA

MARCH 17 EVENTS IN HISTORY (MACHI 17 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

HISTORIA Machi 17
*Machi 17, 1990: Yanga ya Dar es Salaam inalazimisha sare kwa Ndovu ya
Arusha, timu ngeni iliyoogopwa sana katika ligi Kuu ya Tanzania bara
mwaka huo.
*Machi 17, 1942: John Wayne Gacy, muuaji wa siri na hatari zaidi
Marekani aliyeua jumla ya wavulana 32 anazaliwa huko Chicago,
Marekani.
1972: Mia Hamm, mmoja wa wanasoka maarufu zaidi wa kikie duniani,
anaz;liowa huko Selma, Alabama.
*Machi 17, 1948: Robert Braunwart, mwanahistoria maarufu wa karne ya
21 anazaliwa.
*Machi 17, 1977: Hadeel Abol-Naga, Miss Universe wa Misri 1966 anazaliwa.
*Machi 17, 1977: Iveta Jankularova, Miss Universe Jamhuri ya Watu wa
Slovak 1996 anazaliwa.
*Machi 17, 1907:Jan M J van Houtte: Waziri Mkuu wa zamani wa
Ubelgiji, anazaliwa.
*Machi 17, 1901: Eisaku Sato, Waziri Mkuu wa zamani wa Japan,
anazaliwa. ALishinda tuzo ya Nobel ya 1974.

MARCH 19 EVENTS IN HISTORY (MACHI 19 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 19
* Machi 19, 1978:Andrew Young, Balozi wa Kwanza mweusi wa Marekani
katika Umoja wa Mataifa anaondoka Marekani kuja Tanzania kwa ziara ya
kikazi.
* Machi 19, 1978: Makamu wa Rais, Aboud Jumbe anatangaza kuwa zaidi ya
wakazi 6,000 wa wilaya za Manyara, Ngorongoro na Serengeti
watahamishwa ili kulinda maliasili katika mbuga ya wanyama ya
Serengeti.
* Machi 19, 1860: William Jennings Bryan, mmoja wa waongeaji wazuri
zaidi katika historia ya ulimwengu anazaliwa.
* Machi 19, 1955: Bruce Willis mcheza sinema maarufu wa Marekani
aliyetamba katika filamu za Moonlighting na Die Hard anazaliwa.
* Machi 19, 1956: Alina Castro, binti wa Rais Fidel Casto wa Cuba anazaliwa.
* Machi 19, 1900: [Jean] Frederic Joliot-Curie, mshindi wa Tuzo ya
Nobel katika Fizikia mwaka 1935, anazaliwa.
* Machi 19, 1947: Glenn Close, mcheza sinema maarufu wa Marekani
aliyeng’ara na filamu za Big Chill na Fatal Attraction anazaliwa.

MARCH 18 EVENTS IN HISTORY (MACHI 18 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 18 HISTORIA
* Machi 18, 1994: Waziri Mkuu John Malecela anayaonya magazeti ya
Tanzania kuachana na lugha isiyofaa.
* Machi 18, 1994: Benki ya Meridian Biao ambayo ilikuja kufilisika
baadaye hapa Tanzania, inatangaza kuwa ya kwanza kuleta huduma za
utoaji fedha kupitia kadi za mkopo za plasstiki (Credit cards)
* Machi 18, 1970: Queen Latifah, mwanamuziki na mcheza sinema
mashuhuri wa kike mweusi wa Marekani anazaliwa. Alitamba kama Khadijah
James ndani ya tamthiliya ya Living Single.
* Machi 18, 1963: Vanessa L. Williams, Mrembo bora Miss Amerika wa
kwanza mweusi mwaka 1983 anazaliwa huko Millwood, New York. Ni
mwimbaji mashuhuri pia.
* Machi 18, 1932: F. W. de Klerk, Rais wa Mwisho Kaburu wa Afrika ay
Kusini kabla ya weusi kupata Rais wao wa Kwanza (Nelson Mandela) .
Alikuwa Rais kuanzia mwaka 1989-1994.
* Machi 18,1928: Fidel V Ramos, President, Rais wa zamani wa
Phillipines, anazaliwa.

MARCH 21 EVENTS IN HISTORY (MACHI 21 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

*Machi 21, 1978
*Mkoa wa Dar es Salaam unatangaza kuanza kutoa kwa vibali kwa
wafanyabishara wanaoingia na kutoka jijini ili kukabiliana na ugonjwa
wa kipindupindu ambao ulisababisha watu wasiopungua 1000 kulazwa
hospitali
*Machi 21, 1978: Askofu Abel Muzorewa, Bwana Ndabaningi Sithole na
Chifu Jeremiah Chirau wanaapishwa katika serikali ya Haini wa
Kiingereza Ian smith na kuonekana wamewasliti wapigania ukombozi
wenzao wa Rhodesia.
*Machi 21, 1990: Namibia inapata uhuru kutoka kwa Makaburu wa Afrika
ya Kusini chini ya chama cha SWAPO huku Sam Nujoma akiwa Rais.
*Machi 21, 1975: Ethiopia inamaliza atawala wa kifalme baada ya miaka
3,000 ya kuwa katika mfumo huo wa utawala.
*Machi 21, 1768: Jean-Baptiste-Joseph Fourier, mwanahisabati maarufu
duniani, anazaliwa.
*Machi 21,1999: Whoopi Goldberg anashinda tuzo ya 71 ya Oscar.
*Machi 21, 1963: Ronald Koeman, mcheza soka maarufu wa Uholanzi
aliyetamba na timu za Ajax, PSV na Barcelona anazaliwa.

MARCH 20 EVENTS IN HISTORY (MACHI 20 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 20
*Machi 20, 1978: Mahakama ya Rufaa ya Tanzania inampunguzia kifungo jela Thomas Zangira, Mtanzania wa kwanza na pekee kutiwa hatiani kwa kosa la kufanya ujasusi ndani ya Tanzania. Majaji Francis Nyalali, Robert Kisanga na Kahwa Lugakingira wanamuona na hatia Zangira lakini wanaeleza kuwa kifungo cha miaka 20 jela ni adhabu kubwa mno kwa mshtakiwa kama yeye kwa namna alivyotoa ushirikiano katika kesi hiyo na pia kutokuwepo ushahidi wa kuthibitisha kwa uhakika athari ambazo Tanzania ingezipata kwa kosa alilolifanya ambapo alidaiwa kutuma taarifa za kijasusi kwa Mzungu mmoja na jajusi wa kimataifa aitwaye John Wilson.
*Machi 20, 1727: Sir Issac Newton, mwanafikizia maarufu sana duniani, anafariki dunia akiwa na umri wa miaka 84
*Machi 20, 1977: Hayati Indira Gandhi anashindwa katika uchaguzi Mkuu wa India.
*Machi 20, 1969: John Lennon, mwanamuziki wa kundi maarufu la Beatle, anafunga ndoa na Yoko Ono.
*Machi 20, 1991: Michael Jackson anasaini mkataba mnono wa dola milioni 65 za Kimarekani ili kuirekodia kampuni ya Sony album sita.
*Machi 20, 1956: Tunisia inapata uhuru na kujikomboa kutoka ukoloni wa Wafaransa.
*Machi 20, 1815: Napoleon, mmoja wa majemedari maarufu zaidi waliopata kuishi anaingia jijini Paris na kuanza utawala wa siku 100, baada ya kuepuka kuuawa katika mapigano makali ya Elba.
*Machi 20, 1904: B. F. Skinner, mmoja wa Wanasaikolojia maarufu zaidi katika historia ya dunia, anazaliwa.
*Machi 20, 1986: Jacques Chirac anaunda serikali mpya ya Ufaransa.

MARCH 22 EVENTS IN HISTORY (MACHI 22 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 22, 1984: Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anawataka viongozi wa
Tanzania wasichoke kujiendeleza ki-elimu. Anayasema hayo katika ukumbi
wa mikutano wa Chio cha Usimamizi wa Fedha (IFM) jijini Dare es
Salaam.
*Machi 22, 1973: Tanzania inaelezea wasiwasi kuhusiana na mwenendo wa
vitendo vya kibabe vya Dikteta Idi Amin wa Uganda.

*Machi 22, 1934: Watu 1,500 wanakufa na wengine 1,000 kujeruhiwa baada
ya moto mbaya kutokea huko Hakodate Japan.

*Machi 22, 1457: Biblia ya Gutenberg inakuwa ndiyo kitabu cha kwanza
kuchapishwa duniani.

*Machi 22, 1966: Yahya Ayyash, mtengenezaji mabomu hatari wa kundi la
kigaidi la Hamas maarufu kama ‘Injinia’ anazaliwa. Amehusika na vifo
vya zaidi ya Wayahudi 90 na ndiye gaidi anayetafutwa zaidi na serikali
ya Israeli.

*Machi 22, 1976: Reese Witherspoon, mcheza sinema maarufu wa Marekani anazaliwa.

*Machi 22, 1922: Mahatma Gandhi, mpigania haki maarufu wa India na
dunia nzima, anahukumiwa kifungo cha miaka 6 jela na serikali ya
Wakoloni wa Uingereza.

*Machi 22, 1967: Muhammad Ali anamtwanga kwa KO bondia Zora Folley
katika pambano la kumtafuta bingwa wa ndondi duniani.
*Machi 22, 1972: Kareem Abdul-Jabbar anatangazwa kuwa mchezaji bora
zaidi wa ligi ya Kikapu ya Marekani, NBA MVP.

*Machi 22, 1963: Kashfa maarufu ya ngono ilioyomkumba John Profumo,
aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza inachukua sura mpya baada ya
Profumo kudai hakuwahi kufanya mapenzi na msichana Christine Keeler.


*Machi 22, 1977: Indira Gandhi anajiuzulu U-Waziri Mkuu wa India.
*Machi 22, 1924: Allen Harold Neuharth, mwanzilishi wa gazeti maarufu
la USA TODAY, anazaliwa.

MARCH 23 EVENTS IN HISTORY (MACHI 23 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

*Machi 23, 1973: Nduli Idi AMin wa Uganda anasisitiza tena kuiwahana
mopango wakuivamia nchi yoyote jirani, ikiwemo Tanzania.
*Machi 23, 2006: Vyombo vya habari vinaripioti kuhusu uvumi kuwa
majambazi nchini wemebuni mbinu mpya ya uporaji kwa kutumia mwani
maalum zinazoweza kuionea mbali. Taarifa hzio zinaelezwa kumshtusha
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Jinai nchini, Robert Manumba.
*Machi 23,1945: manowari zipatazo 1,500 zinaushambulia mji wa Okinawa
huko japan wakati vita vya Pili vya Dunia vikimalizika. Hii ilikuwa ni
moja ya mashambulizi mabaya zaidi kufanywa kijeshi baharini katika
historia ya Ulimwengu.
*Machi 23, 1953: Chaka Khan, mwanamuziki mashuhuri aliyetamba sana
anazaliwa. *Machi 23,1956: Sudan inapata Uhuru
*Machi 23,1956: Pakistan inakuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Pakistani.
*Machi 23,1987: Tamthiliya maarufu ya ‘;Bold and Beautiful’ inaanza kuonyeshwa.
Machi 23, 1973: Jason Kidd, mchezaji mchezo wa vikapu mashuhuri ligi
ya Marekani ya NBA anazaliwa.
*Machi 23,1971: Yasmeen Ghauri,mmoja wa warembo maarufu duniani, anazaliwa.
*Machi 23,1971: Renette Cruz, Mrembo bora wa Canada 1996 anazaliwa.

MARCH 24 EVENTS IN HISTORY (MACHI 24 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

* Machi 24 2006: Mwenyekiti wa TLP Augustine Mrema anajisalimisha
mahakama kuu siku 3 baada ya kuamriwa akamatwe kwa kuhusishwa na
utoaji maneno ya uchochezi kuhusiana na vifo katika machimbo ya
Bulyanhulu ambapo wachimba migodi wadogo wadogo walifunikwa mwaka
1996.
*Machi 24, 1989: Galoni milioni11.3 za mafuta zinamwagika katika ajali
ya meli ya mafuta ya Valdez inamilikiwa na kampuni ya ExxonMobil huko
Alaska na kuweka rekodi ya umwagikaji mafuta ya dunia.
*Machi 24, 1944: Patti Labelle, Mwimbaji mashuhuri Mmarekani mweusi anazaliwa.
*Machi 24, 1871: Ernest Rutherford, mwanasayansi mashuhuri wa Fizikia
na masula ya nyuklia anazaliwa.
*Machi 24, 1755: Rufus King, mmoja wa Wamarekani mashuhuri
aliyeshiriki kwa karibu katika kutungwa Katiba ya Marekani, anazaliwa.
*Machi 24, 1903: Adolph F J Butenandt, mwanasayansi mahiri katika
bayolojia na Kemia na smhindi wa tuzo ya Nobeli ya mwaka 1939
anazaliwa.
*Machi 24, 1897: Wilhelm Reich, mwanasayansi aliyebobea sana
katikautafitiwa Tabiaza binadamu na viumbe wengine, anazaliwa.
*Machi 24, 1855: Andrew W. Mellon, Bilionea tajiri aliyeanzisha
benkika Mellon Bank anazaliwa.
*Machi 24, 1993: Ezer Weizman anachaguliwa Rais wa Israel
*Machi 24, 1944: Ndege zipatazo 811 za Uingereza zinaushambulia mji wa
Berlin wakati wa vita vya Pili vya Dunia.

MARCH 25 EVENTS IN HISTORY (MACHI 25 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

*Machi 25, 2005: Dk. Said Egwaga, Meneja wa Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma anasema kuwa Tanzania inaweza kutokomeza au kupunguza kwa kiasi magonjwa haya na hasa Kifua kikuu.
*Machi 25, 1942: Aretha Franklin, mwanamuziki mashuhuri wa kike Mweusi wa Marekani, anazaliwa huko Memphis, Tennessee. Alitamba na albamu na nyimbo nyingi ikiwemo maarufu zaidi iitwayo ‘Respect’(‘Heshima’).
*Machi 25, 1982: Danica Patrick, Dereva mashuhuri wa mbio za magari wa Marekani anazaliwa.
1133: Henry II, Mfalme wa Uingereza kati ya 1154 - 1189 anazaliwa.
1862: George Sutherland, Jaji mashuhuri wa Uingereza anazaliwa.
1653: Joseph Sauveur, Mwanafizikia na Mwanahisabati maarufu wa Ufaransa anazaliwa.
1839: William Bell Wait, Mmarekani aliyefanya jitihada kubwa kuwaelimisha wasioona anazaliwa.
*Machi 25, 1906: Alan J P Taylor, Mwanahistoria maarufu wa Uingereza, anazaliwa.

MARCH 26 EVENTS IN HISTORY (MACHI 26 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

INAKUJA

MARCH 27 EVENTS IN HISTORY (MACHI 27 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

*Kesi ya Uhaini inasikilizwa tena na Jaji Mkuu nassor Mnzavas. Katika
kesi hiyo watuhumiwa kadhaa akiwemo Hatty MacGhee, Uncle Tom
Rugangira, George Banyikwa na wengineo walituhumiwa kutaka kuipindua
serikali na kumuua Mwalimu Nyerere aliyekiwa Rais wakati huo.
*Machi 26, 1983: Hali ya msongamano wa maiti katika chumba cha
kuhifadhia maiti muhimbili inaelezwa kuwa ya kutisha.
*Machi 26, 1976: Larry Page, moja wa waanzilishi wa wawili wa kampuni
ya Google (injini ya utafutaji taarifa katika intaneti) anazaliwa. Kwa
sasa ni mmoja wa mabilionea wakubwa zaidi duniani.
*Machi 26, 1944: Diana Ross, mwanamuziki maarufu wa kike mweusi wa
Marekani anazaliwa.
*Machi 26, 1863: Henry Royce, bilionea aliyeanzisha kampuni ya magari
ya kifahari ya Rolls-Royce anazaliwa.
**Machi 26, 1985: Keira Knightley, mcheza sinema maarufu wa kike wa
marekani anazaliwa.
*Machi 26, 1930: Jaji wa kwanza mwanamke katika mahakama ya juu zaidi
Marekani na mmoja wa wanawake wanaoheshimika sana katika taaluma ya
sheria duniani kote anazaliwa.
*Machi 26, 1913: Paul Erdos, mwenahisabati maarufu sana duniani anazaliwa.

MARCH 28 EVENTS IN HISTORY (MACHI 28 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 28, 1993: Jaji James Mwalusanya wa Mahakama Kuu anatoa amri ya
kulizuia Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kupandisha kodi katika
nyumba zake kwa kiawango cha asilimia 800.
*Machi 28, 1978: Sheria inayounda BNodi ya Biashara ya Nje (BET)
inaanza rasmi kazi kupitia Tangazo la Serikali (GN) Namba 35.
*Machi 28, 1983: Mwalimu Julius Kambarage Nyerere anaagiza kuwepo kwa
mfumo wa ugawaji ardhi vijijni ambapo wakulima watapaswa wapatiwe hati
maalum ziwasaidie wasipokonywe ardhi yao.
*Machi 28, 1992: Khatibu Senkoro ambaye wakati huu ni Mwenyekiti wa
Bodi ya wakurugenzi wa Kiwanda cha Kusindika nyama cha Tanganyika
Packers cha Kawe, Dar es Salaam anaeleza kuwa Kiwanda hicho kinaweza
kusimamisha uzalishaji muda wowote. Baadaye kiwanda hicho
kilifilisika.
*Machi 28, : Lady Gaga, mwanamuziki mashuhuri duniani, anazaliwa.
*Machi 28, : Julia Stiles, mcheza sinema maarufu wa kike wa Marekani anazaliwa.
1969: Dwight D. Eisenhower, Rais wa 34 wa Marekani anafariki.
Machi 28, 1995: Mcheza sinema maarufu Julia Roberts anatengana na
mumewe Lyle Lovette.
1991: Mike Tyson anakubali kuwa alizaa mtoto na mwanamke mmoja,
Kimberly Scarborough.

MARCH 29 EVENTS IN HISTORY (MACHI 29 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

Machi 29
*Machi 29, 1984: Mbunge Sambu Abdallah Gallawa anaeleza kutoridhika na
hukumu iliyomuengua ubunge wa jimbo la Singida mjini iliyotolewa na
jaji Kahwa Luigakingira wa Mahakama Kuu ya Tanzania.
*Machi 29, 1993: Bibi Tabitha Siwalle ambaye ni waziri wa Ardhi wakati
huu anasema tatizo la ugawaji kiwanja kimoja kwa watu wawili au zaidi
ni sugu jijini Dar es Salaam.
* Machi 29, 1790: John Tyler, Rais wa 10 wa Marekani anazaliwa huko Virginia.
* Machi 29, 1819: Edwin Drake, binadamu aliyechimba kisima cha kwanza
kabisa cha mafuta duniani, anazaliwa Marekani.
* Machi 29, 1943: John Major, aliyewahi kuwa Waziri Mkuu wa Uingereza,
anazaliwa.
* Machi 29, 1976: Jennifer Capriati, mmoja wa wacheza tenisi mashuhuri
wa kike duniani, anazaliwa.

MARCH 30 EVENTS IN HISTORY (MACHI 30 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI)

*Machi 30, 1840: Sultani wa Zanzibar ni mmoja wa wafanyabiashara
wakubwa wa biashara ya utumwa duniani wakati huu.
*Machi 30,1983: srrikali ya New Zealand inatoa msaada kuwzesha
uzalishaji ng’ombe bora katika shamba la mifugo la Kitulo.
*Machi 30, 1968: Celine Dion, mwanamuziki maarufu wa Canada aliyetamba
na wimbo Power of Love anazaliwa.
*Machi 30, 1962: M.C Hammer, mwanamuziki mweusi wa Marelani aliyetamba
sana enzi zake anazaliwa akiitwa Stanley Kirk Burrell.
*Machi 30, 1945: Eric Clapton, mwanamuziki na mpiga gitaa mashuhuri
duniani enzi zake, anazaliwa.
*Machi 30, 1979: Norah Jones, mwanamuziki mashuhuri wa Marekani, anazaliwa.

MACHI 31 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Machi 31, 1993: Kashfa ya Loliondo inazitungisha siasa za Tanzania na
kuzidi kumweka pabaya Waziri wa maliasili na Utalii wakati huu,
Abubakari Mgumia.
*Machi 31, 1993: Mercel komanya, waziri wa Ardhi anafafanua matumizi
ya sheria za kumiliki ardhi Tanzania.s
*Machi 31, 1948: Al Gore, Makamu wa Rais wa Marekani wakati wa utawala
wa Bill Clinton anazaliwa. Ni mshindi wa Nobel ya amani katika
Mazingira.
*Machi 31,1595: Rene Descartes, mwanafalsafa maarufu duniani anazaliwa.
*Machi 31, 1927: Cesar Chavez, mwanaharakati maarufu wa haki za
wakulima na wafanyakazi, anazaliwa.
*Machi 31, 1499: Piusi wa Nne (Pius IV) au jina halisi Gianangelo
de’Medici, aliyewahi kuwa mwanasheria maarfu na Papa wa Kanisa
Katoliki anazaliwa.
*Machi 31, 1934: Richard Chamberlain, mcheza sinema maarufu aliyevuma
na filamu ya Machimbo ya Mfalme Solomoni (King Solomon’s Mines,
anazaliwa).

APRILI 1 MATUKIO MUHIMU KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

APRILI 1 HISTORIA
*April 1, 1975: Dar es Salaam inaanza kupata umeme kutoka bwawa la Mtera.
*Aprili 1, 1944: Jenerali Hassan Ngwilizi, Mwanajeshi na mwanasiasa
mashuhuri wa Tanzania anazaliwa.
*Aprili 1, 1815: Otto von Bismarck, Mtawala wa Ujerumani aliyeitisha
Mkutano maarufu aw berlian wa kuligawa bara la Afrika (1884-1885)
anazaliwa.
*Aprili 1, 1948: Jimmy Cliff, mwanamuziki mashuhuri aliyetamba katika
Reggae, anazaliwa.
**Aprili 1, 1578: William Harvey, binadamu aliyegundua mfumo wa damu
mwilini anazaliwa.
*Aprili 1, 1971: Method Man, mwanamuziki maarufu mweusi wa mahadhi ya
Rap na Hip Hop wa Marekani anazaliwa.

APRILI 2 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 2, 1902: Reli ndefu zaidi Afrika inayotoka cape Twon, Afrika
Kusini hadi Cairo, Misri inafunguliwa rasmi.
*Aprili 2, 1982: Argentina inavivamia visiwa vya Falklands inavyodai
Uingereza imevikalia kimabavu. Vita baina ya nchi hizi vinafuatia.
*Aprili 2,1939: Marvin Gaye, mwanamuziki maarufu wa Marekani anazaliwa.
Aprili 2, 1979: Menachem Begin, Waziri Mkuu wa Isareli anafanya ziara
ya kihistoria katika nchi ya Kiarabu baada ya kuitembelea Misri kwa
mwaliko wa Rais Anwar Sadat.
Aprili 2, 1985: Marekani inafanya jaribio la Nyuklia huko Nevada.
1976: Ureno inapata Katiba yake.

APRILI 3 MATUKIO MUHIMU KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

inakuja

Monday, February 27, 2012

APRILI 4 MATUKIO MUHIMU KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 4, 1952: Sir John Graham Gray anatangaza kustaafu wadhifa wa
Jaji Mkuu wa Zanzibar.
*Aprili 4, 2008: John Mndolwa, Mhariri Mratibu wa Habari ITV anafariki dunia.
*Aprili 4,1949: Mkataba wa Umoja wa Kujihami wa nchi za Ulaya
Magharibi (NATO) unasainiwa jijini Washington D.C., Marekani.
*Aprili 4,1960: Senegal inapata uhuru kutoka kwa Ufaransa.
*Aprili 4,1969: Denton Cooley, daktari bingwa wa upasuaji mioyo kutoka
Houston, Texas, Marekani anafanikisha oparesheni inayowezesha kuwekwa
kwa moyo wa kwanza bandia katika binadamu.
*Aprili 4,1972: Mtambo wa kwanza duniani wa umeme uendeshwao kwa nguvu
za taka unaanza kazi.
*Aprili 4, 1823 : Karl Wilhelm Siemens, mvumbuzi wa utandazaji nyaya
chini ya bahari anazaliwa.
*Aprili 4,1994: Netscape Communications, kampuni ya mwanzo kubwa
kufanikisha utafutwaji wa taarifa katika mtandao wa kompyuta wa
internet inazaliwa ikaanza kwanza na jina la Mosaic Communications.
Baadaye ilizidiwa umaarufu na teknolojia ya utafutaji taarifa ya
Intenet Explorer iliyotolewa na kampuni ya Microsoft ya bilionea Bill
Gates.
*Aprili 4,1989: Kareem Abdul-Jabbar, mcheza mpira wa vikapu mahiri
zadi duniani wakati wake, anacheza mchezo wake wa mwisho jijini
Seattle, Marekani.
*Aprili 4,1978: Irene Skliva, mrembo bora zaidi duniani (Miss World)
kwa mwaka 1996, anazaliwa huko Athens, Ugiriki.

APRILI 5 MATUKIO MUHIMU KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 5,1588: Thomas Hobbes, mwanafalsafa maarufu sana katika
historia anazaliwa huko Uingereza.
*Aprili 5,1937: Colin Powell, Waziri wa mambo ya Nje wa Marekani wa
zamani wa kwanza mweusi anazaliwa.
*Aprili 5,1984: Kareem Abdul-Jabbar, mmoja wa wacheza mpira wa vikapu
(Basket Ball) maarufu zaidi katika historia ya mchezo huo anavunja
rekodi kwa kufikisha pointi 31, 419 dhidi ya 31,419 zilizokuwa na
mwingine maarufu Wilt Chamberlain.
*Aprili 5,1939: Dikteta Adolf Hitler wa Ujerumani anasema vijana wote
ni lazima wajiunge na Umoja wa Vijana wa Chama chake cha NAZI.
*Aprili 5,1971: Krista Allen, mwanamke maarufu aliyetamba kama Billie
Reed katika tamthiliya ya 'Days of Our Lives' na pia kama Jenna Avid
katika tamthiliya ya 'Baywatch Hawaii' anazaliwa.

APRILI 6 MATUKIO MUHIMU KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

• Aprili 6, 1985: Katiba ya nchi ya Sudan inasimamishwa baada ya
kufanyika mapinduzi ya kijeshi yanayoongozwa na Jenerali Swarreddahab.
• Aprili 6, 1917: Marekani inaingia rasmi katika Vita vya Kwanza vya Dunia.
• Aprili 6, 1992: Majeshi ya Serbia yanauteka mji maarufu wa Sarajevo.
• Aprili 6, 1991: Diego Maradona, mwanasoka maarufu wa Argentina
aliyewahi kuwa mwanasoka bora duniani, anasimamishwa kucheza ligi ya
Italia baada ya kubainika kutumia madawa haramu ya Cocaine.
• Aprili 6, 1972: Misri inavunja uhusiano wa Kibalozi na nchi ya Jordan.
• Aprili 6, 1964: Misri inarejesha uhusiano wa kibalozi na Ubelgiji.

APRILI 7 MATUKIO MUHIMU KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 7, 1972: Sheikh Abeid Amani Karume, Rais wa ASP, muasisi wa
mapinduzi ya Zanzibar na Rais wa kwanza wa Zanzibar anauawa kwa
risasi.
*Aprili 7,1934: Mahatma Gandhi, mwanaharakati maarufu wa India,
anasimamisha mgomo dhidi ya wakoloni wa Kiingereza.
*Aprili 7, 1975: Victoria Adams, "Posh Spice", mwimbaji mashuhuri wa
kundi la Spice Girls la Uingereza, anazaliwa.
*Aprili 7,1978: Biblia ya zamani sana iliyochapishwa na Guttenberg
inaweka rekodi kwa kuuzwa kwa dola za Marekani milioni 2 ($2,000,000)
huko New York, Marekani.
*Aprili 7,1967: Israeli na Syria zinaingia katika vita vya kugombea mpaka.
*Aprili 7, 1990: Watu 110 wanakufa katika ajali ya pantoni huko
Norway. Wengine 30 wanakufa katika ajali tofauti ya pantoni huko Burma
*Aprili 7, 1989: Manowari ya kivita ya Urusi inazama katika bahari ya
Norway na kuua mamia ya watu.
*Aprili 7, 1978: Rais Jimmy Carter wa Marekani anasimamisha
utengenezwaji wa bomu la neutroni linalofanywa na nchi yake.
*Aprili 7, 1969: mahakama ya Rufaa ya Marekani inabatilisha sheria
inayofanya jinai mtu kuwa na machapisho ya ngono.

APRILI 8 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 8,1946:Iliyokuwa Jumuiya ya Mataifa (League of Nations) kabla
ya kuzaliwa kwa umoja wa mataifa wa sasa (UN) inafanya kikao chake cha
mwisho kabisa kabla ya kusambaratika.
*Aprili 8, 1977: Yitzhak Rabin, Waziri Mkuu wa Isreli anajiuzulu.
*Aprili 8,1985: Serika;li ya India inaishtaki kampuni ya Union Carbide
kwa uzembe uliosababisha kuvuja na kusambaa kwa mionzi ya Nyuklia
iliyoua maelfu ya watu.
*Aprili 8, 1938: Kofi Annan, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kati ya
mwaka 1997 - 2007, na mshindi wa tuzo ya Amani ya Nobel kwa mwaka 2001
anazaliwa huko Ghana.
*Aprili 8,1966: Leonid Brezhnev anateuliwa kuwa Katibu Mkuu wa chama
cha Kikomunusti cha Ursusi.
*Aprili 8, 1986: Clint Eastwood, mcheza sinema maarufu duniani kutoka
Marekani anachaguliwa Meya wa mji mdogo wa Carmel, California.

APRILI 9 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

• Aprili 9, 1909: Dk. F. Stuhlmann, mtafiti na Mkurugenzi wa kwanza wa
kituo cha utafiti cha kilimo cha Amani, Tanga anachapisha matokeo
muhimu ya uchunguzi alioufanya muda mrefu kuhusiana na uingizwa wa
mazao ya chakula kutoka kwingineko katika nchi za Afrika Mashariki na
pia athari zake kiuchumi.
• Aprili 9, 1967: Jaji Saidi wa Mahakama Kuu ya Tanzania antaoa uamuzi
muhimu katika kesi ihusianayo na urithishaji ardhi kimila katika jamii
ya Wachagga ambapo analiongelea kwa kina suala la unyanyasaji wa
kijinsia unaofanywa kwa mwanamke katika masuala ya mirathi.
• Aprili 9, 1953: Jomo Kenyatta, mpigania uhuru mashuhuru wa Kenya,
anafungwa na wakoloni wa Uingereza aishi gerezani kwa miaka saba.
• Aprili 9, 1992: John Majors anachaguliwa Waziri Mkuu wa Uingereza.
• Aprili 9, 1992: Manuel Noriega, Rais wa zamani wa Nicaragua anatiwa
hatini na mahakama ya Marekani kwa kupatikana na makosa ya biashara ya
madawa ya kulevya.
• Aprili 9, 1989: Mike Tyson, bingwa wa ndondi za uzito wa juu duniani
wakati huu anampiga mkatisha tiketi katika sehemu ya maegesho ya magai
pale anapoambiwa aliegeshe gari lake vizuri.
• Aprili 9, 1968: Martin Luther King., Jr. mwanaharakati mashuhuri wa
haki za weusi huko Marekani anazikwa.
• 1963: Hayati Sir Winston Churchill, Waziri Mkuu wa zamani wa
Uingereza anapewa na Marekani uraia wa chi hiyo ikiwa ni heshima ya
kwanza kabisa kutolewa na Marekani kwa binadamu aliyekwishafariki
tayari.
• Aprili 9, 1965: India na Pakistan zinaingia katika vita kugombea
mpaka wa nchi hizo.
• Aprili 9, 2005: Prince Charles,mwana wa mfalme wa Uingereza na mume
wa zamani wa hayati Princess Diana, anafunga ndoa na Camilla Parker
Bowles.

APRILI 10 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

INAKUJA

APRILI 11 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 11, 1979: Nduli Idi Amin, dikteta wa Uganda anaikimbia Uganda baada ya kuopindiliwa na majeshji ya Tanzania yakishirikiana na wapinzani wake wa Uganda. Tukio hili linaashiria pia kumalizika kwa Vita vya Kagera.
1984: Majeshi ya China yanaivamia Vietnam.
*Aprili 11, 1984: Jenerali Konstantin Chernenko ambaye ni Katibu Mkuu
wa Chama cha Kikomunisti cha Urusi, anachaguliwa kuwa Rais wa nchi
hiyo.
*Aprili 11, 1983: filamu ya “Gandhi” inayoonyesha maisha na harakati
za mwanamapinduzi mashuhuri wa India, Mahatama Gandhi inashinda tuzo
ya Oscar huko Marekani.
*Aprili 11,1906: Albert Einstein, mwanafizikia maarufu duniani wakati
wake anatangaza nadharia yake maarufu iitwayo Relativity.
1985: Enver Hoxha, Waziri Mkuu wa zamani wa Albania anafariki.
*Aprili 11,1512: Gastorn de Foix, aliyewahi kujifanya mfalme (kwa
kutumia udanganyifu) wa Ufaransa, anafariki dunia.
*Aprili 11, 1970: Rais wa Tanzania, Mwalimu Julius Nyerere anaeleza
kuwa Umoja wa Kutofungamana na Upande wowote (NAM) ni Jumuiya muhimu
san kwa nchi kama Tanzania wakati dunia iko katika Vita Baridi vya
Kikomunisti na Kibepari kati ya Marekani na Urusi.

APRILI 12 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 12, 1984: Edward Moringe Sokoine, Waziri Mkuu wa Tanzania
anafariki dunia katika ajali ya gari katika barabara kuu ya Dodoma-Dar
es Salaam, kando tu ya eneo la Dakawa, Morogoro. Ni moja ya misiba
mikubwa zaidi kuikumba Tanzania.
*Aprili 12, 1988: Chuo Kikuu cha Harvard ambacho kinaheshimika kuliko
vyote duniani, kinasajili kisheria uvumbuzi wa panya aliyetengenezwa
bila kuzaliwa (genetically engineered) katika moja ya maabara za Chuo
Kikuu hicho.
*Aprili 12, 1987: Texaco, moja ya makampuni makubwa zaidi ya mafuta
wakati wake, inaiomba mahakama iitangaze imefilisika, Hii ni muda
mfupi baada ya kuambiwa ilipe fidia kubwa kuliko zote duniani kwa
wakati huo katika kesi ya kusisimua ambapo Texaco ilishtakiwa na
kampuni ndogo ya mafuta ya Pennzoil iliyotetewa na mwanasheria mahiri
na tajiri zaidi duniani, Joe Jamail wa Houston, Texas.
*Aprili 12, 1947: Tom Clancy, mtunzi mashuhuri wa vitabu duniani anazaliwa.
*Aprili 12, 1903: Jan Tinbergen, Mchumi mashuhuri wa Uholanzi na
mshindi wa tuzo ya Uchumi ya Nobel ya mwaka 1969, anazaliwa.

APRILI 13 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 13, 2000: Padri Felician Nkwera anasisitiza kuendelea kwa
ibada za Kanisa lake la Wanaombi.
*Aprili 13, 2000: Kanisa la KKKT linagubikwa na migogoro.

*Aprili 13,1743: Thomas Jefferson, Rais wa 3 wa Marekani na mmoja wa
binadamu waliochangia zaidi maendeleo ya Katiba na Demokrasia duniani,
anazaliwa. Anatajwa mara nyingi pia kuwa na akili nyingi kuliko
walizonazo binadamu wengi wa kawaida.

*Aprili 13,1961: Umoja wa Mataifa unapitisha Azimio la Kulaani siasa
za Ubaguzi wa Rangi za Makaburu wa Afrika ya Kusini.

*Aprili 13,1960: Ufaransa inakuwa nchi ya nne kuthibitika kuwa na bomu
hatari la Nyuklia baada ya kufanya jaribio la bomu kama hilo katika
jangwa la Sahara barani Afrika.

*Aprili 13,1959: Vatican, Makao makuu ya Kanisa Katoliki Duniani na
makazi ya Papa (kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani), yanatoa waraka
wa kupiga marufuku Wakatoliki kuwapigia kura Wakomunisti.

*Aprili 13,1980: Marekani inayagomea mashindano ya Olimpiki ya Joto
(Summer Olympics) yaliyofanyika Moscow, Urusi. Urusi na Marekani
wakati huu ni maadui wakubwa na mataifa haya yako katika Vita Baridi.

*Aprili 13,1975: Mapinduzi ya kijeshi yanafanyika nchini Chad ambapo
Jenerali Odingar anatwaa madaraka ya nchi.

*Aprili 13,1918: Watu 38, wengi wao wagonjwa wa akili, wanakufa baada
ya moto uliosababishwa na hitilafu za umeme kuunguza hospitali ya
wagonjwa wa akili huko Oklahoma, Marekani.

APRILI 14 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 14, 1984: Tanzania inazidi kuomboleza kwa huzuni kuondokewa na
Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine na taratibu za mwisho za mazishi
yake zinafanyika.
*Aprili 14, 1969: Mahakama ya Rufaa ya Atrika Mashariki inatoa
hukumumuhimu inayofafanua dhana nzima ya mtu kudai fidia katika
amsuala ya kuchafuliwa jina (defamation). Ni katika rufaa ya
Williamson Diamonds Dhidi ya Brown.
*Aprili 14, 1865: Abraham Lincoln, Rais maarufu wa Marekani
aliyechangia sana ukombozi wa weusi wa huko, anapigwa risasi na
muuaji wake John Wilkes Booth.
*Aprili 14, 1902: Marie na Pierre Curie wanafanikiwa kubainisha
uvumbuzi wa nguvu za kikemikali zilizoko katika madini ya Radium. Ni
moja ya mapinduzi makubwa zaidi kufanyika katika masuala ya Fizikia na
nyuklia.
*Aprili 14,1940: Majeshi ya nchi Washirika (Marekani, Urusi,
Uingereza, Ufaransa na nyinginezo) yanaikomboa nchi ya Norway kutoka
uvamizi wa madikteta Adolf Hitler wa Ujerumani na marafiki zake.
1969: Kimbunga kikali cha Tornado kinauharibu mji wa Dacca, Mashariki
mwa Pakistan na kuua pia watu 540.
*Aprili 14, 1907: Francois "Doc" Duvalier, dikteta wa zamani wa Haiti,
anazaliwa.
*Aprili 14, 1905: Frits Philips, Injinia maarufu wa Uholanzi na
mwanzilishi wa kampuni ya vifaa vya Umeme ya Philips, anazaliwa.
*Aprili 14,1977: Sarah Michelle Gellar, mmoja wa wacheza filamu wa
kike waliotamba zaidi duniani, anazaliwa.

APRILI 15 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 15, 1959: Serikali ya kikoloni nchini Tanganyika inatangaza
itatumia kila namna kuitekeleza Sheria Mpya ya kulinda misitu ya
Tanganyika ambayo ndiyo kwanza inapitishwa na Baraza la Kutunga Sheria
la Tanganyika.
*Aprili 15, 1973: Profesa James wa Chuo Kikuu cha Dare s Salaam pamoja
na Mhadhiri wa Sheria chuoni hapo, Gamaliel Mgongo Fimbo (baadaye
Profesa Fimbo) wanamaliza kuandika kitabu maarufu na muhimu kuliko
vyuote katika Sheria za Ardhi na Mila za Tanzania. Kinaitwa Customary
Land Law of Tanzania: A Source Book.
*Aprili 15, 1964: Haini Ian Smith wa Rhodesia anajitangaza kuwa waziri
Mkuu wan chi hiyo inayoitwa Zimbabwe kwa sasa.
*Aprili 15, 1452: Leonardo da Vinci, mwanafalsafa, mwanasayansi,
mchoraji maarufu na binadamu aliyejaliwa vipaji vingi anazaliwa.
*Aprili 15, 1974: Rais Diori Hamani wa Niger anaondolewa madarakani
katika mapinduzi ya kijeshi nchini humo.
*Aprili 15, 1986: Marekani inaipiga mabomu Libya baada ya nchi hiyo
kutuhumiwa kuhusika na ugaidi wa ulipuaji wa ukumbi wa dansi wa La
Belle, Berlin, Ujerumani.
*Aprili 15, 1989: Watu 95 wanakufa katika ghasia ndani ya uwanja wa
mpira wa Sheffield, Uingereza.
*Aprili 15, 1978: watu 43 wanakufa baada ya teeni mbili kugongana uso
kwa uso huko Bologne, Ulaya.
*Aprili 15, 1978: Uingereza inafanikiwa kufanya jaribio la bomu la nyuklia.
*Aprili 15, 1981: Janet Cooke, mwanamke aliyeandika mkasa wa kutumia
madawa hatari ya heroine kwa miaka minane kabla ya kuachana nayo
anatoboa siri kuiwa mkasa huo uliompa uimaarufu mkubwa duniani hadi
kushinda tuzo ya heshima ya uandishi ya Pulitzer ambayo ni ya juu
zaidi duniani ilikuwa ni magirini tu. Anavuliwa tuzo hiyo.
1962: Deni la tauifa la Marekani linafikia dola bilioni 300.

APRILI 16 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 16, 1979: Majaji Mwakasendo, Nyalali na Kisanga wa mahakama ya
Rufaa ya Tanzania inatoa hukumu muhimu katika sheria ya mikataba ya
Tanzania kwa kuamua kwamba , japo kwa nadra sana, pale inapobidi
mkataba Fulani unaweza kubatilishwa iwapo kuna hila ama upande mmoja
wa mkataba umetumia mazingira ya kuufanya upande mwingine kuingia
mkataba huo pasipo kuelewa maana yake halisi. Ni katika Rufaa muhimu
ya Sluis Brothers (E.A) dhidi ya Mathias an Tawari Kitomari ambapo
kampuni hii ya Kidachi (Sluis) ilionekana imewarubuni wakulima wa
maharage wa Arusha kwa kutengeneza mikataba yenye lugha ngumu ya
kimombo ambayo wakulima hawa wasiosoma hawakuielewa.
*Aprili 16, 1977: Alex Haley, mbunifu wa filamu maarufu ya Roots
(mhusika maarufu akiwa Kinta Kunte) inayoonyesha historia ya utumwa
Marekani, anafanikiwa kugundua chimbuko la kijiji ambacho mambabu zake
walitokea huko Afrika Magharibi. Kijiji hicho ni Juffure nchini
Gambia.
*Aprili 16, 1964: Maharamia 9 wanafungwa jela kati ya miaka 25-30 kwa
kuhusika kwao na wizi maarufu kuliko wote kufanyika katika historia ya
dunia. Wizi huu ujulikanao kama The Great Train Robbery ulihusisha
wizi kamambe wa mamilioni ya fedha katika treni moja huko Uingereza.
*Aprili 16, 1947: Kareem Abdul-Jabbar, mchezaji mashuhuri zaidi wa
mchezo wa kikapu duniani wakati wake, anazaliwa. Alichezea timu za
Milwaukee Bucks na Los Angeles Lakers.
*Aprili 16, 1987: Michael Jordan anakuwa mchezaji wa pili baada ya
Kareem Abdul-Jabbar, katika historia kufunga pointi 3,000 katika msimu
mmoja wa mchezo wa kikapu wa ligi maarufu ya Marekani ya NBA.
*Aprili 16, 1992: Rais Najibullah wa Afghanistan anajiuzulu.

APRILI 17 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

SUBIRI KDG

APRILI 18 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

*Aprili 18, 1960: Fabian Ngalaiswa anajitokeza kuwa mgombea binafsi
katika uchaguzi Mkuu wa 1960. Alishinda jimboni mwake baada ya TANU
kukosa kusimamisha mgombea.
*Aprili 18, 1999: Wanachama 250 waliokataliwa uanachama na chama cha
NCCR-Mageuzi wakati mgogoro ukifukuta chamani humo, wanawasilisha
malalamiko kuhusiana na hatua hiyo.
*Aprili 18, 1946: Iliyokuwa Jumuiya ya Mataifa (Chimbuko la Umoja wa
Mataifa) inavunjika.
*Aprili 18,1956: Israeli na Misri zinaingia makubaliano ya amani baina yao.
*Aprili 18,1973: Haile Gebresleassie, M-Ethiopia,alivuma sana kwa
kukimbia kasi ya ajabu na mshindi wa dhahabu katika Olimpiki ya 1996,
anazaliwa.
*Aprili 18,1977: Alex Haley, mtunzi wa kitabu kilichozaa filamu
maarufu ya Roots kuhusu utumwa wa Weusi (waafrika) huko Marekani,
anatunukiwa tuzo ya heshima ya Pulitzer.
*Aprili 18, 1963: Conan O’ Brien, mmoja wa wachekeshaji maarufu zaidi
wa televisheni duniani anazaliwa.
*Aprili 18, 1984: America Ferrera, mcheza sinema maarufu wa kike wa
Marekani anazaliwa.
*Aprili 18,1995: Joe Montana, mcheza mpira maarufu wa Marekani, anastaafu.

APRILI 19 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

INAKUJA

APRILI 20 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI

Aprili 20, 1889: Adolf Hitler, Dikteta maarufu wa Hitler
aliyeangamiza maelfu ya Wayahudi na kuuingiza Ulimwengu katika Vita
vya Kwanza vya Dunia, anazaliwa.
• Aprili 20, 1945: Vita vya Pili vya Dunia ambavyo vilianzishwa na
Dikteta Adolf Hitler na ndivyo vita vilivyoua mamilioni zaidi ya watu
na kuutia ulimwengu hasara kubwa zaidi, vinaelekea ukingoni baada ya
majeshi ya Urusi kuutwaa mji maarufu wa Ujerumani wa Berlin.
• Aprili 20, 1951: Luther Vandross, mwanamuziki mweusi wa Marekani na
mmoja wa maarufu zaidi walipata kuishi, anazaliwa.
• Aprili 20, 1972: Carmen Electra, mwanamitindo na mcheza filamu
mashuhuri wa Marekani aliyeshiriki katika mfululizo wa televisheni wa
Bay Watch na kutokea katika vyombo vingi vya habari, anazaliwa.
• Aprili 20, 1920: Azimio la Balfour linaloifanya ardhi ya Palestina
kuwa sehemu ya Uingereza, linapita.
• *Aprili 20, 1992: Mwanamuziki maarufu wa kike wa Marekani, Madonna
anaingia mkataba wa dola milioni 60 na kampuni ya Time Warner na
kuweka rekodi ya moja ya mikataba minono zaidi duniani.

APRILI 21 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 21, 1964: Harold Schneider, mtafiti maarufu wa makabila ya
Tanganyika, anakamilisha ripoti yake kuhusiana na utafiti alioufanya
katioka jamii ya Wanyaturu wa Tanzania na pia mifumo ya kiuchumi ya
makabila ya Afrika Mashariki.
*Aprili 21, 1984: FAO, Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa
Mataifa, linaelezea hatari ya kuzidi kuharibika kwa mazingira na
athari zake katika upatikanaji chakula unaohusiana na matumizi ya
nishati ya mkaa katika ukanda wa Kati wa nusu-jangwa wa Tanzania.
*Aprili 21, 1984: Kituo maarufu cha Udhibiti wa Magonjwa cha Atlanta,
Marekani (CDC) kinatoa moja ya taarifa za awali kuhusiana na ugonjwa
hatari wa UKIMWI baada ya kueleza kuwa kirusi kilichoonekana kwa
mgonjwa huko Ufaransa, kinadhjoofisha nguvu za asili za mwili
kujikinga na maradhi.
*Aprili 21, 1926: Malkia Elizabeth II wa Uingereza, anazaliwa.
1828: Noah Webster, anachapisha moja ya kamusi za kwanza na muhimu
zaidi katika historia ya lugha duniani.
* Aprili 21, 1982: Dk. Michael E. Bakey wa Houston, Texas, Marekani
anafanikisha oparesheni ya kwanza kabisa ya moyo bandia kwa binadamu.
*Aprili 21, 1729: 1729: Catherine the Great. Mtawala maarufu wa zamani
wa Urusi na mmoja wa wanawake wenye nguvu zaidi kuliko wote waliowahi
kuishi duniani, anazaliwa.

APRILI 22 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*April 22, 1964: Mwalimu Nyerere wa Tanganyika na Sheikh Abed Amani
Karume wa Zanzibar wanaingia rasmi mkataba wa Muungano unaokuja kuzaa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania siku nne baadaye (Aprili 26, 1964).
*April 22,1891: Hans Meyer, mzungu wa kwanza kuupanda Mlima
Kilimanjaro, anachapisha utafiti wake kuhusiana na uzuri wa theluji
iliyoko kileleni Kibo, sehemu ya mlima huu. Chapisho lake linabeba
jina Across East African Glaciers.
*April 22, 1994: Watutsi wapato 7,000 wanauawa kinyama katika uwanja
wa michezo wa Kibuye huko Rwanda wakati wa mauaji ya kutisha na ya
kusitisha ya Kimbari ya mwaka huo.
*April 22, 1987: Maelfu ya watu wanauawa baada ya ndege za kijeshi za
Sri Lanka kurusha makombora katika maeneo waliyoishi waasi wa Tamil
Tigers.
*April 22, 1870: Vladmir Lenin, mwanamapinduzi aliyeongoza Mapinduzi
Makuu ya Urusi ya Oktoba 1917 na kuwa Rais wa kwanza wa nchi hiyo na
pia kuukuza na kuusambaza Ukomunisti na Ujamaa kote duniani,
anazaliwa.
*April 22, 1944: Adolf Hitler wa Ujerumani na Benito Musolini wa
Italia, madikteta wawili waliouingiza Ulimwengu katika Vita Vya Pili
vya Dunia (1939-1945) wanakutana kujadili cha kufanya wakati
wanaonekana kuelemewa na majeshi ya Marekani, Urusi, Uingereza,
Ufaransa na washirika wengine.
*April 22, 1940: J. Robert Oppenheimer, Mmarekani aliyeongoza mradi
maarufu (maarufu kama Manhattan Project) uliotengeneza bomu la kwanza
la Atomiki, anazaliwa.
*April 22, 1977: Simon Peres anakuwa Waziri Mkuu wa Israeli.
*April 22, 2000: Elian Gonzales, mvulana wa Ki-Cuba aliyezua tafrani
ya ki-diplomasia na Uhamiaji alipoingia Marekani kinyemela na
kugombewa na ndugu zake anatwaliwa Katika oparesheni ya ghafla na ya
Kasi ya makachero wa FBI ili arudishwe kwao Cuba.

APRILI 23 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 23, 1958: Mahakama ya Rufaa ya Afrika Mashariki (Tanganyika na
Zanzibar zikijumuishwa wakati huu) inatia hukumu muhimu katika kesi
maarufu ya Kibangeny Arap Kolil Dhidi ya Jamhuri kwa kutamka kuwa
ushahidi wa mtoto mahakamani hauwezi kukubalika mpaka ihakikishwe
kwamba mahakama iliyosikila shauri husika linawajibika ipasavyo
kuhakikisha kuwa mtoto anayetoa ushahidi anaelewa maana ya kiapo
anachokila mahakamani kabla ya kutoa ushahidi wake.
*Aprili 23, 1984: Kirusi (virus) kinachosababisha ugonjwa wa UKIMWI
(kimombo AIDS) kinatambulishwa rasmi kwa jina la HIV.
*Aprili 23, 1985: Kampuni ya Coca-Cola ya Atlanta, Georgia
inabadilisha kwa mara ya kwanza kanuni (formula) na ladha (flavour) ya
kinywaji cha Coca-Cola ambacho ndicho maarufu zaidi duniani na ambacho
pia kanuni yake ya utengenezaji (formula) ndicho kitu cha siri zaidi
katika utengenezaji bidhaa.
*Aprili 23, 1891: Wayahudi wanafukuzwa kutoko Urusi.
*Aprili 23, 1858: Max Planck, mwanafizikia maarufu sana kutoka
Ujerumani aliyeshinda tuzo ya Nobel katika Fizikia mwaka 1918,
anaaliwa.
*Aprili 23, 1897: Lester Bowles Pearson, Waziri Mkuu wa 14 wa Canada
aliyeshinda pia tuzo ya amani ya Nobel mwaka 1957, anazaliwa.
*Aprili 23,
1791: James Buchanan, Rais wa 15 wa Marekani (1857-61) anazaliwa.

APRILI 24 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

SUBIRII

APRILI 25 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

iNAKUJA

APRILI 26 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 26, 1964: Tanzania (Jamhuri ya Muungano wa) inazaliwa rasmi
baada ya zilizokuwa Jamhuri za Tanganyika na Zanzbar kuungana na kuwa
nchi moja sasa.
*Aprili 26, 1981: Uporaji mkubwa zaidi wa fedha za benki Marekani
unafanyika katika benki moja huko Tucson, Arizona ambapo dola milioni
33 zinaibwa.
*Aprili 26, 1900: Watu 126 wanafariki huko China katika tetemeko la ardhi.
*Aprili 26, 1564: William Shakespeare, mtunzi mashuhuri wa Uingereza
na mshairi maarufu zaidi kuliko wote waliopata kuishi,
anazaliwa.Kitabu chake Merchant of Venice kilitafsiriwa na hayati
Mwalimu Nyerere aliyekipa jina la ‘Mabepari wa Venice’.
*Aprili 26, 1711: David Hume, mwanafsalsa maarufu duniani hadi leo, anazaliwa.
*Aprili 26, 1900: Charles Richter, mtafiti maarufu wa matetemeko ya
ardhi anazaliwa huko Ohio. Kipimo maarufu cha matetemeko ya ardhi
(Ritcher Scale) kinatokana na jina lake.
*Aprili 26, 1785: John James Audubon, binadamu aliyetumia muda mwingi
zaidi kuwayizama na kuwajali ndege anazaliwa huko Haiti. Leo hii jina
lake limehusishwa sana na maeneo maalum ya kutunzia viumbe asili kama
ndege.
*Aprili 26, 1914: James William Rouse, mbunifu, mwanzilishi na na
mjenzi maarufu wa mkusanyiko wa maduka makubwa mahali pamoja (Shopping
malls) anazaliwa huko Marekani. Mfano wa ‘malls’ (chanzo cha ubunifu
wake) ni kama ilivyojengwa Mlimani City Shopping Mall ya Dar es
Salaaam.
*Aprili 26, 1898: Vicente Aleixandre,mshindi wa tuzo ya Nobel katika
Fasihi mwaka 1977 anazaliwa.

APRILI 27 MATUKIO MAKUBWA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 27,1865: Watu 1, 547 wanakufa baada ya meli iendeshwayo kwa
nguvu za mvuke, kulipuka katika mto Mississippi.
*Aprili 27,1859: Abiria wote 400 wanazama na kufa baada ya meli
iitwayo "Pomona" kuzama katika bahari ya Atlantic.
*Aprili 27,1870: Heinrich Schliemann anavumbua mji wa kale wa Troi.
*Aprili 27,1974: Abiria 107 ndani ya ndege ya Pan Am 707 wanakufa
inapogonga milima ya Bali huko bara Asia.
*Aprili 27,1976: Mataifa ya Kiarabu yanaanzisha mfuko wa fedha uitwao
Arabic Monetary Fund huko Abu Dhabi.
*Aprili 27,1896: Wallace Hume Carothers, mvumbuzi wa nailoni,
anazaliwa. inventor, nylon
*Aprili 27,1822: Ulysses S. Grant Rais wa 18 wa Marekani (1869-77) anazaliwa.
*Aprili 27,1909: Mohammad Khatami, mwanafsalsa maarufu wa Iran anazaliwa.
*Aprili 27,1861: Jimbo la Virginia Magharibi la Marekani linajitenga
kutoka katika jinbo la Virginia.

APRILI 28 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

* Aprili 28, 1998: Joseph Chombo, Katibu wa Chama cha kupigania haki
za Waafrika wa Tanganyika (TAAA) hukoMwanza na anayesifika kwa
kukieneza chama hichokilichokuja kuzaa TANU huko kanda ya ziwa
anaandika barua kwa wakazi na viongozi wa kiafrika wa chama cha TAA
Biharamulo, Bukoba, Missungwi (Mwanza), Musoma, Ngara na Ngudu
(Kwimba) barua inayoelezwa ilihamasisha kwa kiasi kikubwa mwamko wa
Waafrika dhidi ya ukoloni.
* Aprili 28, 1998: Tuhuma za ubadhirifu mkubwa zinaizonga menejimenti
ya Reli ya Tanzania na Zambia (TAZARA)
* Aprili 28, 1969: Charles de Gaulle anajiuzulu kama Rais wa Ufaransa.
* Aprili 28, 1967:Muhammad Ali, bingwa wa ngumi za uzito wa juu
duniani anakataa kujiunga na jeshi la Marekani kwenda kupigana vita
Vietnam na anavuliwa ubingwa wake kwa jambo hilo.
* Aprili 28, 1950: Jay Leno, mmoja wa wachekeshaji maarufu na matajiri
zaidi wa televisheni, anazaliwa.
* Aprili 28, 1981: Jessica Alba, mcheza filamu maarufu wa Marekani, anazaliwa.
*Aprili 28, 585 (mwaka mia tano themanini na tano): Vita maarufu kati
ya Lydia na Media vinamalizwa na kupatwa kwa jua.
Quick Reply

APRILI 29 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 29, 1968: Bi. Mwatumu Jasmine Mtengeti anakuwa Mtanzania wa
kwanza wa kike kuhitimu Shahada ya Sayansi (B.Sc.) kutoka Chuo Kikuu
cha New Zeland alikopata skolashipu ya Jumuiya ya Madola. Katika
Shahada hiyo alijikita zaidi katika somo la Jiografia.
*Aprili 29, 1969: Mahakama ya Rufaa ya Afrika ya Mashariki inatoa
uamuzi muhimu katika Rufaa ya Mawji Dhidi ya Arusha General Stores kwa
kueleza kuwa katika hali ya kawaida tafsiri ya Sheria ya Bunge
inayotumiwa na mahakam ni ile ya msamiati wa kawaida ki-kamusi lakini
kuna wakati misingi ya haki inalazimisha kufuatwa kwa kanuni
nyinginezo za kutafisiri zaidi tu ya lugha inayotumika waziwazi.
*Aprili 29, 1429: Joan of Arc, manamke anayeyajwa shujaa zaidi kijeshi
kuliko wote waliopata kusihi, anayaongoza majeshi ya Ufaransa na
kushinda vita vikali dhidi ya waingereza.
*Aprili 29, 1991: Watu zaidi ya 139,000 wanakufa na wengine milioni 10
kupteza makazi kutokana na kimbunga kikali huko Bangladesh.
*Aprili 29,1992: Ghasia za wamarekani weusi zinaikumba Los Angeles,
Marekani baada ya mahakama kuwaachia huru askari weupe waliompiga
isivyo halaliMmarekani mweusi Rodney King.
*Aprili 29,1991: Croatia inatangaza uhuru wake.
*Aprili 29, 1994: Israel na Chama cha Ukombozi cha Palestina (PLO)
wanasaini mkataba wa kushirikiana kiuchumi.
*Aprili 29,1992: Garth Brooks ananyakua tuzo katika Tamasha la 27 la
Muziki maarufu wa Marekani wa Country.
*Aprili 29,1986: 800,000 books destroyed by fire in Los Angeles Central Library
*Aprili 29,1967: Aretha Franklin, mwanamuziki maarufu mweusi wa ike wa
Marekani, anatoa albamu yake ya "Respect" inayokuja kumpatia umaarufu
mkubwa.
*Aprili 29,1970: Uma Thurman, mcheza filamu maarufu wa kike wa
Marekani, anazaliwa.
*Aprili 29,1970: Andre Agassi, mchezaji bingwa wa tennis aliyetamba
Marekani na dunia nzima, anazaliwa.

APRILI 30 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Aprili 30,1992: Muswada wa Mabadiliko ya Nane ya Katiba ya Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kuruhusu mabadiliko kutoka mfumo wa Chama kimoja
cha Siasa kwenda Vyama vingi unawasilishwa Bungeni na John Samuel
Malecela, Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais wakati huu.
*Aprili 30, 1972: Mzalendo, Gazeti la Kiswahili la Kila Jumapili
linalomilikiwa na chama cha TANU (na baadaye CCM) linazaliwa.
*Aprili 30, 1982: Kirsten Dunst, mcheza filamu maarufu wa kike wa
Marekani aliyetamba na filamu ya Interview with the Vampire anazaliwa.
*Aprili 30, 1974: Rais Richard Nixon wa Marekani anasalimu amri kwa
kukubali kutolewa kwa rekodi kuhusiana na kashfa ya Watergate. Baadaye
alijiuzulu kutokana na kashfa hiyo.
*Aprili 30, 1961: Fidel Castro, Waziri Mkuu wa Cuba wakati huu
anatunukiwa nishani ya amani ya Lenin.
*Aprili 30, 1900: Marekani inakitwaa kisiwa cha Hawaii na kukifanya jimbo lake.
*Aprili 30, 1859: Paul Morphy, mmoja wa binadamu mahiri zaidi katika
historia ya mchezo wa Chess duniani anastaafu.

MEI 1 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

INAKUJA

MEI 2 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

* Mei 2, 1988: Meli ya M.V Serengeti yenye uzito wa tani 500 na yenye
kubeba abiria 350na mizigo tani 350 inazinduliwa kwa safari katika
Ziwa Victoria na Rais Ali Hassan mwinyi kwa ufadhili wa Shirika la
Kimataifa la Misaada ya Maendeleo la Denmark, DANIDA.
*Mei 2, 1974: Kampuni ya Dar es Salaam Motor Transport (DMT) inavunjwa
na badala yake zinazaliwa kampuni za UDA (Usafiri Dar es Salaam) na
Shirika la Mabasi ya taifa (KAMATA)
* Mei 2,1963: Mikoa ya Kilimanjaro, Ruvuma, Mara na Shinyanga inaanzishwa rasmi.
*Mei 2,1974: Kitengo cha Elimu ya wafanyaki kinaundwa ndani ya Wizara
ya kazi na Ustawi wa Jamii.
*Mei 2,1949: Arthur Miller, mtunzi maarufu wa fasihi anashinda tuzo ya
uandishi ya Pulitizer kwa utunzi wake maarufu, Death of the Salesman,
kitabu kilichotumika kufundishia fasihi kote duniani, ikiwemo
Tanzania.
*Mei 2, 1946: Ghasia katika gereza la Alcatraz, Marekani ambalo ni
moja ya yale yuanayolindwa zaidi duniani, zinaziuka na watu 5
wanakufa.
*Mei 2,1945: Vita vya Pili Vya Ulimwengu vinazidi kukaribia ukingoni
baada ya majeshi ya NAZI ya Ujerumani ya Adolf Hitler kusalimu amri
huko Italia.
*Mei 2,1975: David Beckhan, mcheza soka mashuhuri wa Uingereza na mume
wa Posh Spice (kundi la muziki la Spice Girls) anazaliwa.
*Mei 2,1976: Ailleen Damiles, Miss Universe-Philippines/Miss
Photogenic 1996 anazaliwa.

MEI 3 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

Mei 3 historia
*Mei 3, 1965: Halmashauri Kuu za Vyama vya TANU (Tanzania Bara) na ASP
(Tanzania Visiwani) zinakubaliana na rasimu ya Kuifanya Tanzania kuwa
na Katiba ya Chama Kimoja cha Siasa.
*Mei 3, 1987: Rais Ali Hassan Mwinyi wa Tanzania anamueleza Waziri wa
Mambo ya Nje wa Burundi anayeitembea Tanzania, Edgar Nkuringoima kuwa
Tanzania ina ushahidi kuwa kuna raia wa Burundi zaidi ya 30,000
wanaoishi nchini Tanzania isivyo halali.
*Mei 3,1997: Garry Kasparov, bingwa mahiri wa mchezo wa Chess duniani
wakati wake anapambanishwa kucheza mchezo huo wa kutumia akili nyingi
na programu ya kompyuta kutoka IBM, Deep Blu. Kompyuta inashinda kwa
tabu.
*Mei 3,1469: Niccolo Machiaveli, mwanafalsafa mashuhuri wa siasa na
utawala kutoka Italia na mtunzi wa kitabu maarufu cha ‘Prince’,
anazaliwa.
*Mei 3,1898: Golda Meir, Waziri Mkuu wa nne wa Israel (na wa kwanza
mwanamke) kati ya (1969-1974) anazaliwa.
*Mei 3,1892: George Thompson aliyeshinda tuzo ya Nobel mwaka 1937 kwa
utafiti wa tabia za kifizikia za elektroni, anazaliwa.
*Mei 3,1845: watu zaidi ya 1, 600 wanakufa kwa moto katika ukumbi
mmoja mkubwa wa burudani huko China.

MEI 4 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Mei 4, 1981: Rais Samora Moses Machel anawasili Dar es Salaam ambako
anakaa masaa sita ambapo pia anaongea kwa faragha na mwenyeji wake
Mwalimu Nyerere, Ikulu, Dar es Salaam.
*Mei 4,1715: Mwamvuli wa kwanza wa kukunja unatengenezwa huko Ufaransa.
*Mei 4,1932: Al Capone, mhalifu mashuhuri wa Mafia wa Marekani anatiwa
gerezani kwa ukwepaji kodi.
*Mei 4, 1910: Mji mkuu wa Israel, Tel Aviv, unaanzishwa.
*Mei 4,1980: Josip Broz Tito, Rais wa zamani wa Yugoslavia, anafariki
akiwa na umri wa miaka 87.
*Mei 4,1942: Chakula kinatolewa kwa mgao maalum wakati huu wa Vita vya
Pili vya Dunia ikiwa ni mara ya kwanza tangu kuanzishwa kwa taifa la
Marekani 1776.

MEI 5 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Mei 5, 1981: Joseph Mungai, Waziri wa Kilimo wa Tanzania anaziasa
nchi za Afrika kushirikiana katika sekta za Kilimo na maendeleo
vijijini kama njia peke ya kuutokomeza umaskini uliozigubika nchi
hizi.
*Mei 5,1972: Abiria 115 waliokuwemo katika ndege ya Alitalia DC-8
wanakufa baada ya ndege hiyo kuanguka huko Palermo, Sicily, Italia.
*Mei 5,1818: Karl Marx, muasisi wa Ujamaa, Mchuni, mwanafalsafa na
mpigania haki za wanyonge, wakulima na wafanyakazi pengine maarufu
zaidi kuliko wote waliopata kuishi, anazaliwa. Communist Manifesto na
Das Kapital vimesomwa na mamilioni ya watu enzi na enzi.
*Mei 5,1944: Mahatma Gandhi, mpigania ukombozi na mwanaharakati
mashuhuri wa mabadiliko kwa njia ya amani huko India anatolewa kutoka
gerezani na wakoloni wa Ki-Ingereza.
*Mei 5,1945: Uholanzi na Denmark zinakombolewa kutoka ukaliaji
kimabavu na ukatili wa majeshi ya NAZI ya Ujerumani chini ya Dikteta
Adolf Hitler wakati huu ambapo Vita vya Pili vya dunia vinafikia
tamati.
*Mei 5,1998: Mahakama huko Marekani inahukumu kuwa Rais Bill Clinton
hana kinga ya kimamlaka kumfanya asitoe ushahidi katika kesi
inayomkabili ya masuala ya ngono na mfanyakazi mwanafunzi wa Ikulu ya
Marekani, Monica Lewinsky.
*Mei 5,1957: Adolf Scharf anachaguliwa kuwa Rais wa nchi ya Austria.

MEI 6 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Mei 6, 1972: Kampuni ya Wakala wa Meli Tanzania (NASACO) inaanzishwa.
*Mei 6, 1973: Mahakama Kuu ya Tanzania kanda ya Mtwara inazinduliwa rasmi.
*Mei 6, 1994: Nelson Mandela na chama chake cha ANC wanathibitishwa
rasmi kuwa wameshinda uchaguzi mkuu wa kwanza huru wa Afrika ya
Kusini. Mandela anakuwa Rais wa kwanza mweusi.
*Mei 6, 1960: Rais Dwight Eisenhower wa Marekani anasaini rasmi Sheria
inayotoa haki sawa kwa watu wote Marekani iitwayo Civil Rights Act.
*Mei 6, 1856: Sigmund Freud, muasisi wa Sayansi ya Saikolojia na
mwana-Saikolojia mashuhuri kuliko wote waliopata kuishi anazaliwa.
*Mei 6, 1994: Lennox Lewis anamtwanga kwa TKO Phil Jackson katika
raundi ya nane ya kumtafuta bingwa wa masumbwi ya uzito wa juu
duniani.
*Mei 6, 1977: Gabriela Aguilar, Miss Costa Rica Universe 1997

MEI 7 MATUKIO MAKUBWA KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGU

*Mei 7, 1981: mahakama Kuu ya tanzania inaamua kuwa si jambo jema
kisheria kwa mtu anayetumika kama mkalimani mahakamani atumike tena
kama shahidi wa upande wa mashtaka katika kesi hiyo hiyo aliyokuwa
mkalimani. Ni katika rufaa ya Thobias Mbilinyi Ngasimula dhidi ya
Jamhuri ambapo inakubaliana na mkata rufaa na kubatilisha hukumu ya
kupatikana na hatia iliyokuwa imetolewa dhidi yake.
*Mei 7, 1993: Tume ya Taifa ya Menejimenti ya Mazingira (NEMC)
inakamilisha taarifa yake ya Mradi wa majaribio kuhusiana Uangaliaji
wa Hali ya Hewa Mijini (Urban Air Quality Monitoring Pilot Project).
*Mei 7,1915: Meli ya Lusitania inazamishwa majini na makombora ya
Wajerumani na watu 1, 198 kufa hapo wakati Vita vya Kwanza vya Dunia
vikiendelea.
*Mei 7,1888: George Eastman anasajili rasmi kisheria uvumbuzi wake wa
mashine ya kupigia picha (camera) aina ya Kodak.
*Mei 7,1355: Wayahudi 1,200 huko Toledo, Hispania wanauawa kwa amri ya
Mfalme Henry wa Trastamara.
*Mei 7,1711: David Hume, mwanafalsafa maarufu kutokl Scotland anazaliwa.
*Mei 7,1989: Raia wa Panama wanakataa kumpa mamlaka dikteta Manuel
Noriega kuwa tena Rais wa nchi hiyo.
*Mei 7,1995: Jacque Chirac anashinda uchaguzi wa Rais wa Ufaransa.
*Mei 7,1980: Josip Tito, aliyekuwa Rais wa Yugoslavia anazikwa.
*Mei 7,1956: Watu 300 wamapoteza maisha katika mapigano makali ya Oran, Algeria.

MEI 8 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE

REJEA BAADAYE

MEI 9 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA ULIMWENGUNI KOTE

SUBIRIA KIDOGO

MEI 10 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

INAKUJA

MEI 11 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 11, 1848: John Rebman kutoka Ujerumani anakuwa mzungu wa kwanza
kuuona Mlima Kilimanjaro kwa macho yake mwenyewe.
*Mei 11, 1989: Seif Shariff Hamad, Waziri Kiongozi wa zamani wa
Zanzibar anafkishwa mahakamani kwa tuhuma za kuhusika katika
mkusanyiko wa kisiasa usio halali. Hakimu Ramsa Mbarouk Foum anaagizwa
asweke ndani na asafirishwe Wete, Pembe kujibu mashtaka huko.
*Mei 11,1993: watuhumiwa 49 wa kuchoma mabucha ya nguruwe jijini Dar
es Salaam wananyimwa dhamana na Hakimu Projestus Rugazia hata baada ya
mawakili wao Nasib Mselem, Musa Kwikima na Yusuf Mchora kueleza kuwa
sababu za kuwanyima dhamana zilizotolewa na mwendesha mashaka Mratibu
wa Polisi Leonard mashaka hazikuwa na nguvu za msingi kisheria.
*Mei 11, 1993: Garth Brooks anashinda tuzo ya mwanamuziki bora wa
mahadhi ya Country katika tamasha la 29 la muziki wa Country.
*Mei 11, 1985: Watu 40 wanakufa na wengine 150 kujeruhiwa vibaya
katika ajali ya moto katika uwanja wa soka wa jiji la Bradford,
Uingereza.
*Mei 11, 1984: Johan Cruiff, mwanasoka mashuhuri wa zamani wa uholanzi
aliyetamba katika kombe la dunia, anastaafu mchezo huo.
*Mei 11, 1978: Laetitia Casta, mwanamitindo mashuhuri na mcheza sinema
wa kike aliyepamba zaidi ya kurasa za magazeti 100 na matangazo ya
makampuni makubwa ya urembo anazaliwa.
*Mei 11, 1904: Salvador Dali, msanii mchoraji maarufu kutoka
Hispania, anazaliwa.

MEI 12 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 12, 1954: Richard Hindorf, Mjerumani aliyeingiza zao la mkonge
nchini Tanganyika mnamo mwaka 1893, anafariki dunia.
*Mei 12, 1942: Wayahudi 1,500 wanateketezwa kwa gesi ya sumu katika
kambi ya amteso ya Auschwitz, Israeli.
*Mei 12, 1982: Padri wa Kispaniola anakamatwa akiwa na jambia
alipokuwa akipanga kumshambulia na kumdhuru Papa John Paul II
alipotembelea mji wa Fatima, Ureno ambapo watoto watatu, Lucia, Yasisi
na Yasinta wanadaiwa kutokewa na Bikira Maria.
*Mei 12, 1670: Mfalme August II wa Poland, maarufu kama “Mwenye Nguvu”
anazaliwa. Alizaa watoto 355.
*Mei 12, 1907: Katharine Hepburn, mmoja wa wacheza sinema wa kike
maarufu zaidi kupata kuishi, anazaliwa.
*Mei 12, 1978: Jason Biggs, Mmarekani aliyetamba katika filamu ya
kuvutia ya ‘American Pie' anazaliwa.

MEI 13 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 13, 1954: Richard Hindorf, Mjerumani aliyeingiza zao la mkonge
nchini Tanganyika mnamo mwaka 1893, anazikwa.
*Mei 13, 1984: Marais Milton Obote wa Uganda na Daniel Arap Moi wa
Kenya wanawasili mjini Arusha kujadili namna ya ushirikiano mpya baina
yao baada ya kuvunjika kwa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka
1977.
*Mei 13,1968: Wafaransa wapatao milioni 1 (1,000,000) wanaandamana
dhidi ya utawala wa Charles De Gaulle na Pompidou.
*Mei 13,1943: Majeshi ya Ujerumani na yale ya Italia yanasalimu amri
barani Afrika wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.
*Mei 13,535: Mtakatifu Agapitus I anaanza utawala wake kama Papa wa
Kanisa Katoliki.
*Mei 13,1991: Winnie Mandela, mwanaharakati na mke wa zamani wa Nelson
Mandela anapatikana na hatia ya utekaji nyara watoto wanne.
*Mei 13,1857: Ronald Ross, aliyeshinda tuzo ya Nobel mwaka 1902
katika masuala ya Tiba, anazaliwa Uingereza.
*Mei 13,1729: Henry William, mtengenezaji wa mwanzoni wa vioo
viwandani, anazaliwa.
*Mei 13,1856: Peter Henry Emerson, mtu aliyeongoza kampeni za
kuibadilisha upigaji picha kuwa taaluma inayojitegemea anazaliwa.

MEI 14 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 14, 1973: Julie Manning anakuwa Jaji wa kwanza wa Mahakama Kuu
mwanamke nchini Tanzania.
* Mei 14, 1984: Marais Julius Nyerere wa Tanzania, Milton Obote wa
Uganad na Daniel Arap Moi wa Kenya wanakutana Asrusha kujadili namna
ya ushirikiano mpya baina yao baada ya kuvunjiika kwa iliyokuwa
Jumuiya ya Afrika Mashariki mwaka 1977.
*Mei 14, 1984: Mabondia Nassor Michael na Juma Bugingo wa Tanzania
wanashinda medali za Dhahabu katika michezo ya 36 ya Ulimwengu ya
Majeshi katika Kiwanja cha Kikundu jijini Jinja, Uganda.
*Mei 14,1941: Wayahudi 3, 600 wanakamatwa na utawala wa NAZI chini ya
Adolf Hitler wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.
*Mei 14,1944: Dikteta Adolf Hitler ananusurika kuuawa katika jaribio
lililofanywa na majenerali Rommel, Speidel na Stulpnagel.
*Mei 14,1991: Robert M. Gates anakuwa Mkuu wa Shirika la Ujasusi la
Marekani (CIA)
*Mei 14,1969: Cate Blanchett, mcheza sinema mashuhuri wa kie wa
Marekani aliyeshinda tuzo ya Academy katika filamu ya 'The Aviator',
anazaliwa.
*Mei 14, 1969: Canada inaruhusu utoaji mimba na matumizi ya vidonge
vya kuzuia mimba.

MEI 15 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

SUBIRA...

MEI 16 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 16, 1986: Rajiv Gandhi, Waziri Mkuu wa India na mkewe Sonia
wanaondoka India kuja Dar es Salaam, Tanzania kwa ziara ya kiserikali
ya siku mbili.
*Mei 16, 1964: Stephen Moshi anatangazwa kuwa Askofu wa kwanza wa
Kanisa la Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT)
*Mei 16, 1986: Megan Fox, mcheza sinema mashuhuri wa Marekani
anayetajwa na jarida la FHM kama mwanamke mwenye mvuto zaidi duniani,
anazaliwa.
*Mei 16, 1875: Watu 16, 000 wanakufa katika tetemeko la ardhi huko
Venezuela na Colombia.
*Mei 16, 1988: C. Everett Koop, Tabibu Mkuu wa Marekani anatangaza
kuwa kemikali maarufu kama nicotine zilizoko katika tumbaku na sigara
zinafanana na madawa ya kulevya hatari aina ya heroine katika tabia ya
kumfanya mtumiaji kuingia katika mtego wa kutoacha matumizi yake pale
anapoanza na kuzoea (maarufu kama kuwa ‘teja’)
*Mei 16, 1977: Muhammad Ali anamtwanga Alfredo Evangelist na kuwa
bingwa wa ndondi za uzito wa juu duniani kwa mara nyingine tena.
*Mei 16, 1941: Wajerumani chini ya diketa Hitler wanafanmya shambulio
kubwa la mwisho dhidi ya Uingereza wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.

MEI 17 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 17, 1984: Benki Kuu ya Tanzania inaungua moto huku watendaji wote
wakuu wakiwa nje mbali na ofisi. Wakati ikungua Gavana Charles Nyirabu
alikuwa Mwanza, Naibu Gavana Bob Makani alikuwa Ulaya na Waziri wa
Fedha Cleopa Msuya alikuwa Dodoma katika Kikao cha Kamati Kuu ya CCM.
*Mei 17, 1996: Alicia Machado, mrembo wa Venezuela anatawazwa kuwa
mrembo bora duniani. Ni mmoja wa warembo walioandikwa na kupigwa picha
nyingi zaidi duniani.
*Mei 17, 1986: Rajiv Gandhi, Waziri Mkuu wa India na mkewe, Sonia,
wanawasili Dar es Salaam kwa ziara ya kiserikali ya siku mbili nchini
Tanzania.
*Mei 17, 1964: Stephen Moshi anatawazwa Askofu wa kwanza wa Kanisa la
Evangelical Lutheran Church of Tanzania (ELCT)
*Mei 17, 1983: Israeli na Lebanon zinasaini mkataba wa amani.
*Mei 17, 1994: Bakili Muluzi na chama chake cha UDF wanashinda
uchaguzi mkuu wa Malawi.
*Mei 17, 1976: maelfu ya watu wanakufa katika tetemeko la ardhi huko
Uzbekhistan.

MEI 18 MATUKIO KATIKA HISTORIA TANZANIA NA DUNIANI KOTE

*Mei 18, 2003: Msichana mmoja wa kijiji cha Ornagaidida, Kata ya Qash,
wilayani Babati, Haima Amma (19) anabakwa na kIsha kukatwa kwa mapanga
na kichaa aitwaye Dominick Gustav. Anafariki siku mbili baadaye.
*Mei 18, 1993: Benedetto “Nitto” Santapola, bosi aliyeogopwa wa genge
la Mafia anakamatwa na Polisi wa Italia.
*Mei 18, 1994: Israeli inaondoa majeshi yake kutoka ukanda wa Gaza.
*Mei 18, Kaci Thompson, Miss Nevada USA 1997, anazaliwa.
*Mei 18, 1979: Tina Fey, mwandishi na muigizaji maarufu, anazaliwa.
*Mei 18, 1997: Tiger Woods anashinda shindano la gofu la Nelson Classic.

MEI 19 MATUKIO KATIKA HISTORIA

*Mei 19, 1971: Sheikh Abed Amani Karume wa Zanzibar anatangaza katika
viwanja vya Maisera Selemani kuwa watu 19 huko Visiwani watauawa
hadharani kwa kupigwa risasi kwa vitendo vyao vya uhaini dhidi ya
Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
*Mei 19, 1993: watu 132 wanakufa baada ya ndege aina ya Boeing
kuanguka katika mlima huko Medellin Colombia.
*Mei 19,1995: Balamurali Ambati (umri miaka 17 wakati huo) anakuwa
binadamu mdoo zaidi kuhitimu udaktari duniani na kupitia Chuo Kikuu na
Hospitali inayoheshimika katika tiba cha Mount Sinai.
*Mei 19,1967: Marekani inalipiga mabomu jiji la Hanoi wakati wa Vita
vya Vietnam.
*Mei 19,1960: Bunge la Ubelgiji linapitisha sheria ya kulazimisha hata
watu waliojiajiri wenyewe kuwa na siku ya mapumziko.
*Mei 19,1943: Utawala wa Ki-Nazi wa Ujerumani chini ya Adolf Hitler
unatangaza kuwa kuwa hakuna hata Myahudi mmoja anayeishi jiji la
Berlin kwa wakati huo baada ya kuwaua au kuwahamisha Wayahudi ambao
Hitler aliwachukia sana.
*Mei 19,1943: Sir Winton Churchill, Waziri Mkuu wa Uingereza
anatangaza kuisaidia Marekani katika Vita dhidi ya Japan, wakati wa
Vita vya Pili vya Dunia.
*Mei 19,1976: Kevin Garnett, mchezaji maarufu wa ligi ya Mpira wa
Kikapu ya marekani (NBA) anazaliwa..

MEI 20 MATUKIO KATIKA HISTORIA

May 20
*Mei 20, 1987: Mwalimu Nyerere anakataa matumizi ya neno ‘Mheshimiwa’
kwa viongozi wa CCM katika ngazi zote. Alitoa msimamo huu huko Iringa
katika mkutano wa hadhara alipokuwa akijibu swali la Kada wa CCM
Edward Matipa aliyeuliza kuhusiana na jambo hilo baada ya Bunge mjini
Dodoma kupitisha Azimio la kuwatambulisha Wabunge kama ‘waheshimiwa’.
*Mei 20, 2010: Wanasayansi katika Taasisi ya kimataifa ya Craig J.
Venter wanatangaza kuwa wametengeneza chembe hai za kwanza kabisa
kutengenezwa nje ya mfumo wa viumbe-hai asili.
*Mei 20, 1991: Michael Jordan, mchezaji maarufu zaidi wa mpira wa
vikapu duniani katika historia anatangazwa mchezaji mwenye thamani
zaidi katika mchezo huo, katika ligi maarufu ya NBA.
*Mei 20, 1293: Watu 30,000 wanakufa katika tetemeko la ardhi huko
Kamakura, Japan.
*Mei 20, 526 (mwaka mia tano ishirini na sita baada ya Kristo): Watu
250,000 wanakufa katika tetemeko huko Antiokia (sasa Syria).
*Mei 20,1992: Mwimbaji Rebel XD wa Marekani anaweka rekodi ya kuimba
kasi zaidi wa kufoka (muziki wa rap) alipoimba silabi 597 chini ya
sekunde 60.
*Mei 20,1980: Wazee 157 wanakufa baada ya nyumba ya kuhudumia wazee
waliyoishi kuungua moto.

MEI 21 MATUKIO KATIKA HISTORIA

SOON

MEI 22 MATUKIO KATIKA HISTORIA

INAKUJA

mei 23 events in history

*Mei 23, 1988: Mwalimu Nyerere anaeleza katika mkutano na waandishi wa
habari kuwa uamuzi wowote wa kufuta Azimio la Arusha nchini utaleta
machafuko na maandamano makubwa kama yale yaliyofanyika wakati wa
kuunga mkono Azimio hilo mwaka 1967.
*Mei 23, 1993: Rashid Mfaume Kawawa anatangaza kustaafu kutoka
utumishi wa Umma nchini Tanzania.
*Mei 23, 1945: Winston Churchill anajiuzulu U-Waziri Mkuu wa Uingereza.
*Mei 23, 1989: Angela Visser, 22, wa Uholanzi anashinda tuzo la mrembo
bora zaidi duniani (Miss Universe)
*Mei 23,1430: Joan wa Arc, mwanamke anayetajwa kuwa mmoja wa waliokuwa
shujaa na jasiri zaidi katika historia, anakamatwa na kuuzwa kwa
Waingereza.
*Mei 23,1974: Jewel Kilcher, mwanamuziki maarufu aliyeuza zaidi ya
nakala milioni 27 za albamu zake, anazaliwa. Hucheza sinema pia.
*Mei 23, 1934: Wallace Carothers anatengeza nailoni ya kwanza kabisa duniani.
*Mei 23, 1928: Watu 22 wanakufa katika bomu ndani ya ubalozi wa
Italia jijini Buenos Aires, Argentina.
*Mei 23,1978: Silvia Colloca, mcheza sinema wa kike wa Italia anazaliwa.

Friday, February 24, 2012

24 may history

inakuja hapa kitambo.

25 mei HISTORIA

inakuja ndg.

MEI 26 HISTORIA

inakuja mheshimiwa.

MEI 27 HISTORIA

inakuja mheshimiwa.

MEI 28 HISTORIA

inakuja mheshimiwa.

MEI 29 HISTORIA

inakuja mheshimiwa.

MAY 30 HISTORY

wait!

MAY 31 HISTORY

wait!

JUNE 3 HISTORY

JUNE 3: TAX FREEDOM DAY (The Adam Smith Institute calculates Tax Freedom Day – i.e. how much of the year you have to spend working for the government as the 3rd June And that is the latest it has been since 1988. Thereafter the government may take another 40% either in capital gains tax or inheritance tax. In the worse case scenario they may even take 100% in long term care fees!) [Source: TEMPLE BAR )

*“No man in this country is under the smallest obligation, moral or other, so to arrange his legal relations to his business or his property as to enable the Inland Revenue to put the largest possible shovel into his stores”.(Lord Clyde in his famous judgment in the case of Ayshire Pullman Motor Services V Inland Revenue Commissioners 1929)

JUNE 1 HISTORY

BE PATIENT. WILL BE HERE asap.

JUNE 2 HISTORY

BE PATIENT. WILL BE HERE asap.

JUNE 4 HISTORY

COMING SOON RIGHT AT THIS PLACE.

JUNE 5 HISTORY

COMING SOON RIGHT AT THIS PLACE.

JUNI 6 KATIKA HISTORIA (JUNE 6 HISTORY)

*June 6, 1981:  ZAWADI ABDALLAH v. IBRAHIM IDDI  [1981] TLR 311 (Decided on 6th June 1981)(Mapigano, J)

*Juni 6, 2000: Serikali ianatangaza kukamilisha mchakato wa kulifuta
rasmi kisheria lililokuwa Shirika la Habari la Tanzania (SHIHATA).
*Juni 6, 1800: Mangi Orombo anafanikiwa kuunda himaya ya kwanza ya
kifalme Uchaggani. Historia ya kabila hili imejadiliwa kwa undani na
wanahistoria wakongwe wa Tanzania, Profesa Kimambo na Temu ndani ya
kitabu chao, The History of Tanzania.
*Juni 6, 1944:Siku ya D (D-Day), siku muhimu zaidi katika historia ya
Vita vya Pili Duniani ambapo jeshi kubwa la Ushirika lenye wanajeshi
150,000 linatua jimbo la Normandy, Ufaransa kukabiliana na majeshi ya
uvamizi ya NAZI ya Adolf Hitler.
*Juni 6, 1994: Watu wapatao 1,000 wanakufa kutokana na tetemeko kubwa
la ardhi huko Toez Colombia.
*Juni 6,1935: Dalai Lama,kiongozi wa kiroho na kisiasa wa watu wa
jamii ya Buddha katika jimbo la Tibet, China, anazaliwa.
*Juni 6,1958:Charles de Gaulle, aliyekuwa Waziri Mkuu maarufu wa
Ufaransa, anajigamba kuwa Algeria ni mali ya Ufaransa.
*Juni 6, 1949: "Inalipa kuwa Mjinga” (“It Pays To Be Ignorant"),
kipindi maarufu cha televisheni kupitia televisheni yaCBS
kinazinduliwa.
*Juni 6,1985: Mwili wa Dk. Josef Mengele, mhalifu maarufu wa utawala
dhalimu wa NAZI wakati wa Adolf Hitler, unagunduliwa ulipozikwa.

JUNI 7 KATIKA HISTORIA (JUNE 7 HISTORY IN KISWAHILI)

inakuja

JUNI 8 KATIKA HISTORIA (JUNE 8 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 8, 1967: B.J. Maggid anaapishwa na Rais Nyerere kuwa Mkuu mpya wa
Mkoa wa Kilimanjaro.
Juni 8, 1967: Solomon Eliufoo, Waziri wa Elimu wa Tanzania anaeleza
kuwa suala la elimu ni la kila mtu kushiriki hapa nchini.
1977: Kanye West, mwanamuziki maarufu mweusi wa Marekani, anazaliwa.
452: Italia inavamiwa na Attila the Hun, kiongozi hatari na vamizi
aliyesumbua falme nyingi za Ulaya nyakati zake.
1992: Tyler Davison, kitoto kichanga kidogo zaidi kuzaliwa duniani
kinatoka tumboni mwa mama yake kikiwa na urefu wan chi 6 na uzito wa
wakia (ounces) 11 tu.
1961: Prince Edward, mwana wa mfalme wa Uingereza kutoka Kent,
anamuoa Katharine Worsley
1953: Kimbunga aina ya Tornado kinaua watu 110 huko Michigan na Ohio, Marekani.
1983: Kim Clijsters, mcheza tenisi maarufu duniani anazaliwa.

JUNI 9 KATIKA HISTORIA (JUNE 9 HISTORY IN KISWAHILI)

itakujia

JUNI 10 KATIKA HISTORIA (JUNE 10 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 10
*Juni 10, 1967: Rais Nyerere anafanya mabadiliko katika baraza la
mawaziri kwa kuwateua mawaziri wadogo kadhaa akiwemo Bibi Lucy Selina
lameck anayekuwa Naibu Waziri wa Afya. Mawaziri kamili ni pamoja na
akina Oscar Kambona na Peter Kisumo.
*Juni 10, 1999: Daniel Yona, waziri wa fedha, anatangaza bajeti ambapo
kima cha chini kinapanda kutoka 2, 000 hadi 10,000/= na kodi katika
matrekta zinaondolewa.
*Juni 10, 1975: Tume ya Rockefeller inatoa ripoti ya kutisha pale
inapoeleza kuwa Shirika la Ujasusi la Marekani (CIA) lina mafaili laki
tatu (300,000) juu ya Wamarekani ambayo yalitengenezwa kinyume cha
sheria.
*Juni 10, 1985: Coca Cola inatangaza kuanza kutumia tena formula
(kanuni ya utengenezaji) ya kinywaji hicho ya miaka 99.
*Juni 10, 1988: Mbio za baskeli zinazowakutanisha waendesha baiskeli
wengi zaidi katika historia zinafanyika ambapo watu 31,678 wanashiriki
huko London, Uingereza.
*Juni 10,1981: Joseph Doherty, kiongozi wa kikundi cha kigaidi cha
IRA, anatoroka kutoka katika jela.
*Juni 10,1981: Sebastian Coe wa Uingereza anaweka rekodi ya kukimbia
mita 800 kwa dakika 1 sekunde 41 nukta 73.
*Juni 10,1961: Maxi Priest, mwanamuziki maarufu wa Reggae, anazaliwa
huko Jamaica.

JUNI 11 KATIKA HISTORIA (JUNE 11 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 11, 1979: Mwalimu Nyerere anaelezakufurahishwa na tamko la rais
Moi wa Kenya kuitisha kikao cha viongozi wa Afrika Mashariki kujadili
namna ya kuijenga Uganda iliyoharibika kutokana na utawala wa nduli
Amin na athari za Vita vya Kagera.
*Juni 11, 1998: Basil Mramba, Waziri wa Fedha Tanzania, anawasilisha
bajeti ya serikali bungeni ambapo kwa mwaka 1998/1999 Tanzania
ingetumia shilingi milioni 1, 007, 786 ambapo kati ya hizo milioni
264.465 ni katika mipango ya maendeleo.
*Juni 11, 1994: Moshood Abiola anakuwa Rais wa Nigeria.
*Juni 11, 1982: Vita vya Israel na Syria vinamalizika huko Lebanon.
*Juni 11, 1987: Margaret Thatcher anakuwa Waziri Mkuu anayevunja
rekodi ya miaka 160 ya Waziri Mkuu aliyekuwa madarakani kushinda awamu
ya tatu ya kuongoza Uingereza.

JUNI 12 KATIKA HISTORIA (JUNE 12 HISTORY IN KISWAHILI)

inakuja muda tu.

JUNI 13 KATIKA HISTORIA (JUNE 13 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 13, 1983: Mahakama ya Rufaa ya Tanzania inasikiliza kesi muhimu
zaidi katika sheria za ndoa, talaka na mgawanyo wa mali nchini. Ni
kesi ya Hawa Mohammedi dhidi ya aliyekuwa mumewe, Ali Sefu.
1955: watu 77 wanakufa katika mashindano ya magari aina ya Mercedes
Benz huko Le Mans, Ufaransa.
*Juni 13, 1997: Timothy McVeigh anahukumiwa adhabu ya kifo kwa kuua
mamilioni ya watu katika jingo la serikali huko Oklahoma, Marekani.
*Juni 13, 1990: Nelson Mandela na mkewe Winnie Mandela wanapata
mapokzi makubwa huko New York, Marekani.
*1986: Bob Marley, mwanamuzki maarufu wa reggae wa Marekani anafanya
tamasha la kihistoria huko Amsterdam, Uholanzi.
*Juni 13, 19839: Detroit Pistons inatwaa ubingwa mpira wa kikapu
(basketball) Marekani baada ya kuibwaga Los Angekes Lakers.

JUNI 14 KATIKA HISTORIA (JUNE 14 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 14, 1878: Alexander Mackay, mpelelezi kutoka Uingereza,
anawasili katika kisiwa cha Ukerewe ili kuchunguza kifo cha mzungu
O’Neall aliyeuawa kwa amri ya mfalme Lukonge wa Ukerewe baada ya
mzungu huyo kuua Wakerewe 30 na kujeruhi wengi kwa bunduki yake.
*Juni 14, 1958: Nelson Mandela anamuoa Winnie Mandela.
*Juni 14, 1974: Wizara mbalimbali zinaanza kuwasilisha bajeti zao
bungeni baada ya Waziri wa Fedha Cleopa Msuya kuwasilisha bajeti ya
serikali ya 1974/75.
*Juni 14, 1942: Anne Frank mwanamke Myahudi aliyeandika diary (kitabu
cha kuandikia kumbukumbu za kila siku) maarufu zaidi duniani (kuhusu
mateso ya wayahudi wakati wa U-Nazi wa Ujerumani), anaanza kuanza
kuandika kumbukumbu zake hizo.
*Juni 14, 1989: Malkia Elizabeth II wa Uingereza anampa Rais Ronald
Reagan wa Marekani heshima ya juu zaidi kutolewa na nchi hiyo
(knighting) kwa mtu. Sasa Reagan anakuwa Sir Ronald Reagan.
1985: Ndege ya TWA Flight 847 inatekwa nyara na Waislamu wenye msimamo
mkali wa Kishia.
1972: Watu 117 wanakufa katika kimbunga aina ya Agnes.

JUNI 15 KATIKA HISTORIA (JUNE 15 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 15, 1997: Garry Kasparov, Mrusi bingwa wa chess duniani na
mmoja wa binadamu wanaotajwa kuwa na kiwanho cha juu zaidi cha akili
(IQ) anaeleza kwa nini alishindwa mchezo huo alipopambanishwa na
programu ya kompyuta ya IBM ya Deep Blu.
*Juni 15, 1994: Nelson Mandela anafunga fungate (honey moon) na mkewe
wa pili, Winnie Mandela, siku moja tu baada ya wawili hawa kuoana.
*Juni 15, 1965: Banladesh inatoa takwimu za kuanguka uchumi wa nchi
hiyo kwa kiasi kikubwa baada ya kimbunga kikali kuua watu zaidi ya
17,000 na kuharibu vibaya miundombinu.

JUNI 16 KATIKA HISTORIA (JUNE 16 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 16, 2004: Kesi ya madawa ya kulevya ya bilioni 15 TANZANIA inaendelea kuunguruma.
*Juni 16, 1994: Wadau wa elimu nchini TANZANIA wanasikitishwa na habari na
picha zilioonyesha wanafunzi wa shule ya Ukaninemo kusomea chini ya
mti.
*Juni 16, 1903: Coca Cola, kampuni kubwa na maarufu zaidi ya soda
duniani, inaanzishwa.
*Juni 16, 1971: Tupac Shakur, mwanamuziki mweusi kuliko wote waliopata
kusihi Marekani, anazaliwa.
Juni 16, 1991; Bosris yYeltisn anachaguliwa kuwa Rais wa Urusi baada
ya Mikhail Gorbachev kuondoka.
*Juni 16, 1977: Leonid Brezhnev anachaguliwa kuw Rais wa Urusi.
*Juni 16, 1986: Mgomo mkubwa wa siku nzima wa wafanyakazi takribani
wote unatokea Afrika ya Kusini.
*Juni 16, 1987: Bernhard Goetz, mtu aliyewaua kwa risasi vijana wane
waliotaka kumuibia katika kituo cha treni chini ya ardhi huko
Marekani, anaachiwa huru na mahakama.

JUNI 17 KATIKA HISTORIA (JUNE 17 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 17, 1958: Paul Bomani , kiongozi wa Victora Federation,
anakutana na Mwalimu Nyerere katika harakati za ukombozi wa
Tanganyika.
*Juni 17, 1969: Kitabu maarufu cha historia ya Tanganyika, Toward
Uhuru in Tanganyika, cha G. Andrew Maguire kinaanza kuuzwa na Taasisi
ya Chuo Kikuu cha Oxford.
*Juni 17, 1898: Bunge la Marekani linakubali Marekani ikitwae kisiwa
cha Hawaii na kukifanya sehemu ya nchi yake.
*Juni 17, 1938: Japan inatangaza vita dhidi ya China.
*Juni 17, 1980: Venus Williams, mcheza tenisi mashuhuri wa kike wa
Marekani anazaliwa.
*Juni 17, 676: Deusdedit III anamaliza utawala wake kama Papa wa
Kanisa katliki duniani.
*Juni 17, 1945: Art Bell, mmoja wa wazungumzaji wenye mvuto wa juu wa
redio duniani, anazaliwa. Hutamba na kipindi chake maarufu cha Coast
to Coast kinachoskikilizwa na mamilioni ya watu Marekani na sehemu
nyingi duniani.

JUNI 18 KATIKA HISTORIA (JUNE 18 HISTORY IN KISWAHILI)

inakuja kitambo tu.

JUNI 19 KATIKA HISTORIA (JUNE 19 HISTORY IN KISWAHILI)

inakuja

JUNI 20 KATIKA HISTORIA (JUNE 20 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 20, 1895: Picha ya kwanza inayoonyeshwa wafungwa wa kike
Tanganyika inatolewa hadharani wakati wa Ukoloni wa Kijerumani.
Picha hii ilikuwa ya kwanza kuwaonyesha wafungwa wanawake waliokuwa magerezani Tanganyika wakati wa Ukoloni wa Wajerumani Tanganyika (1885-1917)

*Juni 20, 1960: Senegal na Mali zinapata uhuru kutoka kwa
Wafaransa.1944: Utawala dhalimu wa Kinazi wa diketea Adolf Hitler wa
Ujerumani unaanza kuuaa maelfu ya Wayahudi huko Auschwitz, Ujerumani.
*Juni 20, 1949: CIA, Shirika la Ujasusi la Marekani linaanzishwa.
*Juni 20, 1895: Caroline Willard Baldwin anakuwa mwanamke wa kwanza
duniani kupata Shahada ya Juu ya Falsafa maarufu kama Ph.D.
*Juni 20, 1990: Nelson Mandela anawasili Marekani kuanza ziara yake ya
kwanza nchini humo tangu aachiwe huru kutoka gerezani.
*Juni 20, 1948: Wayahudi 20 wanakufa kutokna na bomu la kutegwa huko
Cairo, Misri.

JUNI 21 KATIKA HISTORIA (JUNE 21 HISTORY IN KISWAHILI)

INAKUJA

JUNI 22 KATIKA HISTORIA (JUNE 22 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 22, 1976: Mkutano wa Baraza la Ulimwengu la Elimu ya Watu wazima
unaingia siku ya pili jijini Dar es Salaam.
*Juni 22, 1984: Hamad Rashid Mohammed, Naibu Waziri wa Mambo ya ndani
analiambia Bunge kuwa wafanyabiashara ambao mali zao zilitaifishwa
kimakosa kwa makosa ya kuhujumu uchumi watarudishiwa mali hizo na wale
ambao zilishauzwa watapewa sehemu ya fedha zilizopatikana katika mauzo
hayo.
*Juni 22, 1812: Jemedari Napoleon na jeshi lake lenye nguvu linaivamia Urusi.
*Juni 22, 1941: Ujerumani, Italia na Romania zinatangaza vita dhidi ya
Urusi wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.
*Juni 22, 2002: Earthquake kills at least 260 in western Iran
*Juni 22, 1933: Dianne Feinstein, Meya wa kwanza mwanamke wa jiji la
San Francisco na Seneta wa muda mrefu wa Marekani, anazliwa.

JUNI 23 KATIKA HISTORIA (JUNE 23 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 23, 1964: Serikali ya Tanzania inatamka kuwa Wanajeshi wako huru
kujiunga na chama cha siasa cha TANU ama ASP, miezi miwili tu baada ya
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar..
Juni 23, 1956: Gamal Abdel Nasser Anachaguliwa kuwa Rais wa Misri.
Juni 23, 1972: Kimbunga kiitwacho Agnes kinasababisha hasara ambayo
haikuwahi kutokea kabla nchini Marekani kutokana na majanga ya asili.
Juni 23, 1983: Syria inamfukuza nchini humo kiongozi wa Chama cha
Ukombozi wa Palestina (PLO), Yasser Arafat
1996: Andreas George Papandreou, aliyekuwa Waziri Mkuu maarufu na wa
muda mrefu wa Ugiriki,anafariki.
1995: Jonas Salk, mtaalamu wa tiba aliyegundua kinga ya ugonjwa wa
polio, anafariki dunia.

JUNI 24 KATIKA HISTORIA (JUNE 24 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 24, 1962: Maandalizi ya mwsho kuizindua FRELIMO, Chama
kilichopigania uhuru wa Msumbiji na kuikomboa nchi hiyo kutoka ukoloni
wa Wareno, yanafanyika jijini Dar es salaam na wakimbizi wa Msumbiji
wanaoshi nchini.
Juni 24, 1940: Ufaransa inasaini mkataba wa amani na Italia wakari wa
Vita vya Pili vya Dunia.
Juni 24, 1793: Ufaransa inapata Katiba yake ya kwanza ya Jamhuri.
Juni 24, 1340: Vita Virefu vya miaka 100 cvinaendelea kwa meli ya
Uingereza kuizamisha meli ya Ufaransa.
Juni 24, 1945: George E. Pataki, mwanasiasa maarufu wa Marekani na
Gavana wa New York, anazaliwa.
JUuni 24, 1842: Ambrose Bierce, mchekeshaji na mwandishi wa Kamusi ya
Shetani, anazaliwa.

JUNI 25 KATIKA HISTORIA (JUNE 26 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 25

Juni 26, 1995: Benjamin W. Mkapa, Waziri wa Sayansi, Teknolojia na
Elimu ya juu, anapitishwa na chama cha CCM kuwa mgombea Urais wa
Tanzania kupitia chama hicho tawala na kumshinda Jakaya Kikwete ambaye
katika uteuzi wa awali alikuwa ameiungwamkono kwa kura nyingi zaidi.
Juni 25, 1962: FRELIMO, Chama kilichopigania uhuru wa Msumbiji na
kuikomboa nchi hiyo kutoka ukoloni wa Wareno, kinaanzishwa jijini Dar
es Salaam na wakimbizi wa Msumbiji wanaoshi nchini.
*Juni 25, 1967: Mohammed Ali (Cassius Clay) anahukumiwa miaka mitan
jela baada ya kukaidi kujiunga na jeshi la Marekani wakati wa Vita vya
Vietnam.
*1941: Ujerumani chini ya dikteta Adolf Hitler unavamia Dubno, Poland
na kuwataka Wa-Ukrania wanaoishi hapo kuwafanyia lolote, ikiwa ni
pamoja na kuwaua, Wayahudi 12, 000 wanaoishi hapo.
*Juni 25, 1978: Hussein al-Ghasjmi, Raia wa Yemen Kaskazini, anauawa.
*Juni 25, 1994: Waziri Mkuu wa Japan, Tsutomu Hata, anajiuzulu.

JUNI 26 KATIKA HISTORIA (JUNE 26 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 26, 1995: Benjamin W. Mkapa, Waziri wa Sayansi, Teknolojia na
Elimu ya juu, anapitishwa na chama cha CCM kuwa mgombea Urais wa
Tanzania kupitia chama hicho tawala na kumshinda Jakaya Kikwete ambaye
katika uteuzi wa awali alikuwa ameiungwamkono kwa kura nyingi zaidi.
Juni 25, 1962: FRELIMO, Chama kilichopigania uhuru wa Msumbiji na
kuikomboa nchi hiyo kutoka ukoloni wa Wareno, kinaanzishwa jijini Dar
es Salaam na wakimbizi wa Msumbiji wanaoshi nchini.
*Juni 25, 1967: Mohammed Ali (Cassius Clay) anahukumiwa miaka mitan
jela baada ya kukaidi kujiunga na jeshi la Marekani wakati wa Vita vya
Vietnam.
*1941: Ujerumani chini ya dikteta Adolf Hitler unavamia Dubno, Poland
na kuwataka Wa-Ukrania wanaoishi hapo kuwafanyia lolote, ikiwa ni
pamoja na kuwaua, Wayahudi 12, 000 wanaoishi hapo.
*Juni 25, 1978: Hussein al-Ghasjmi, Raia wa Yemen Kaskazini, anauawa.
*Juni 25, 1994: Waziri Mkuu wa Japan, Tsutomu Hata, anajiuzulu.

JUNI 27 KATIKA HISTORIA (JUNE 27 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 27 Historia
*Juni 27, 1974: Mkutano wa kwanza wa watu wenye asili ya Bar la Afrika
unafanyika kwa mara ya kwanza barani Afrika, jijini Dar es Salaam.
Juni 27, 1912: Kipande cha Reli ya Kati, baina ya Morogoro-Tabora
kinazinduliwa rasmi.
*Juni 27, 1988: Mike Tyson anamtwanga kwa KO bondia Michael Spink
ndani ya dakika 91 katika pambano la ndondi za dunia uzito wa juu.
*Juni 27, 1983: Pauni 960,200 zinalipwa kununua kazi ya sanaa ya Miro,
kiasi kikubwa zaidi kulipwa kwa kazi ya usanii wa kuchora au kuchonga
na msanii aliye hai bado.
*Juni 27, 1981: Cambodia inapata Katiba yake.

JUNI 27 KATIKA HISTORIA (JUNE 27 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 28, 1961: Chuo cha Itikadi za siasa cha chama cha TANU
kinafunguliwa huko Kigamboni. Colin Ley anakuwa mkuu wa kwanza wa chuo
hicho.
*Juni28, 1919: Mkataba wa amani wa Versailles, Ufaransa unaomaliza
rasmi Vita vya Kwanza vya Dunia na kuunda jumuiya ya Mataifa
unasainiwa.
*Juni 28, 1919: Ndege iliyotekwa ikiwa na Wayahudi inapelekwa Uganda
na kutua katika uwanja wa Entebbe. Sakata la uokaji mateka
lililofanywa kwa umahiri mkubwa na makomandoo majasusi wa Ki-Israeli
ni moja ya matukio ya kukumbukwa zaidi karne ya 20.
*Juni 28, 1934: Adolf Hitler anakimbia baada ya kunusurika kifo katika
tukio linaloitwa Usiku wa Visu virefu (Night of Long Knives)
*Juni 28, 1941: Wayahudi 11, 000 wanauawa na askari wa Kinazi wa
Kijerumani na Romania chini ya Dikteta Adolf Hitler.

JUNI 28 KATIKA HISTORIA (JUNE 28 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 28, 1961: Chuo cha Itikadi za siasa cha chama cha TANU
kinafunguliwa huko Kigamboni. Colin Ley anakuwa mkuu wa kwanza wa chuo
hicho.
*Juni28, 1919: Mkataba wa amani wa Versailles, Ufaransa unaomaliza
rasmi Vita vya Kwanza vya Dunia na kuunda jumuiya ya Mataifa
unasainiwa.
*Juni 28, 1919: Ndege iliyotekwa ikiwa na Wayahudi inapelekwa Uganda
na kutua katika uwanja wa Entebbe. Sakata la uokaji mateka
lililofanywa kwa umahiri mkubwa na makomandoo majasusi wa Ki-Israeli
ni moja ya matukio ya kukumbukwa zaidi karne ya 20.
*Juni 28, 1934: Adolf Hitler anakimbia baada ya kunusurika kifo katika
tukio linaloitwa Usiku wa Visu virefu (Night of Long Knives)
*Juni 28, 1941: Wayahudi 11, 000 wanauawa na askari wa Kinazi wa
Kijerumani na Romania chini ya Dikteta Adolf Hitler.

JUNI 29 KATIKA HISTORIA (JUNE 29 HISTORY IN KISWAHILI)

Juni 29,1990: Mwalimu Nyerere Anaeleza kuwa kwa sasa si rahisi kwa
Tanzania kuendelea kuwa na chama kimoja tu cha siasa.
Juni 29, 1961: Chuo cha Itikadi za siasa cha chama cha TANU
kinafunguliwa huko Kigamboni. Colin Ley anakuwa mkuu wa kwanza wa chuo
hicho.
Juni 29, 1974: Sheria inayowapa haki sawa Wa-Marekani wote (Civil
Righst Act), inapitishwa baada ya kukwamishwa bungeni kwa mizengwe
(filibuster) ya siku 83.
June 29, 1858: George Washington Goethals, mhandisi aliyejenga mfereji
maarufu wa Panama, anazaliwa.
1972:Mahakam Kuu ya Marekani inatamka kuwa adhabu ya kifo ni ya
kikatili na isiyo ya kawaida kwa binadamu.
1995: George Foreman anapoteza taji la ubingwa wa ndondi za juu
duniani baada ya kukacha pambano dhidi ya Axel Schulz
1861: William James Mayo, mwanzilishi wa mtandao wa kliniki kubwa
zaidi duniani (Mayo Clinic) anazaliwa.
1865: Shigechiyo Izumi, mtafiti aliyebainisha kwa kuthibitisa kitu cha
kale zaidi duniani, anazaliwa.

JUNI 30 KATIKA HISTORIA (JUNE 30 HISTORY IN KISWAHILI)

*Juni 30,1960: LEGCO, Baraza la Kutunga sheria la Kikoloni Tanganyika
linavunjwa ili kuruhusu uchaguzi Mkuu wa kwanza kuelekea Uhuru wa
Tanganyika ufanyike.
*Juni 30, 1985: Mateka 39 walikuwa bado wakishikiliwa na Waarabu,
wanaachiwa huko Beirut.
*Juni 30, 1934: usiku wa kutisha wa Visu Virefu (“Night of Long
Knives”),Hitler anafanya jaribio la kuondokana na maadui zake ndani ya
chama cha NAZI.
*Juni 30, 1966: Mike Tyson, bondia maarufu bingwa wa dunia kwa muda
mrefu miaka ya themanini anazaliwa. Ndiye binadamu mdogo zaidi
kushinda mataji yote makubwa ya ndondi: WBC, WBA na IBF.
*Juni 30, 1984: Fantasia Barrino, mwanamuziki maarufu wa marekani anazaliwa.
*Juni 30, 1985: Muogeleaji mahiri na bora kuliko wote walipta kuishi
duniani anzaliwa. Ameshinda medali za dhabau 14 za Olimpiki na kuvunja
rekodi 37 duniani.

JULAI 1 KATIKA HISTORIA (JULY 1 HISTORY IN KISWAHILI) [HELIGOLAND TREATY]

* Julai 1, 1890: Mkataba maarufu wa Heligoland unaoigawa Afrika
Mashariki unatiwa saini na Uingereza na Wajerumani.
* Julai 1, 1944: Waingereza 2500 jijini London wanauawa kwa mabomu ya
ndege za dikteta Adolf Hitler wakati wa Vita vya Pili vya Dunia.
*Julai 1, 1975: Liv Tyler, mcheza sinema maarufu wa kke wa Marekani
aliyetamba na filamu za Lord of the Rings, anazaliwa.
* Julai 1, 649: Papa Martinus I anakuwa anawekwa wakfu kuchukua
nafasi ya Papa Theodore I kama kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani.
* Julai 1, Julai 1, 1989: Hugh Hefner (Mhariri wa jarida maarufu la
Playboy) anafunga ndoa na Kimberly Conrad.
* Julai 1, 2010: Uvujaji mafuta mbaya zaidi katika historia ya
Marekani unatokea katika bomba la kampuni ya BP.

JULAI 2 KATIKA HISTORIA (JULY 3 HISTORY IN KISWAHILI)

Julai 2
*Julai 2, 1961: Jaji M.C.E.P Biron ambaye aliteuliwa na Malkia wa
Uingereza kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanganyika mnamo Julai 1, 1961,
anaanza rasmi kazi.
*Julai 2, 1941: Watu 7,000 wakazi wa miji ya Lvov na Lemberg wanauawa
na askari katili wa NAZI wa dikteta Adolf Hitler.
*Julai 2, 1986: Lindsay Lohan, mcheza filamu maarufu wa kike na
mwenye vioja kemkem, anazaliwa.
*Julai 2, 1952: Chifu Mangosuthu Buthelezi wa Wazulu anamuoa Irene Mzila.
*Julai 2, 1990: Mahujaji 1,426 wanakufa baada ya msongamano mkubwa
kutokea wakati wa Hijja katika jiji takatifu la Waislamu la Makka.
* ulai 2, 1993: Watu 325 wanakufa huko Bocaue, Philippines.
*Julai 2, 1993: Watu 41 wanakufa baada ya ndege ian ya F-28
craskuanguka huko Iran.
1993: watu 36 wanakufa kwa kuteketezwa moto na Waislamu wenye msimamo
mkali huko Sivas, Uturuki.
*Julai 2, 1994: Abiria wote 37 katika ndege ya DC-9 wanakufa
ilipoanguka jimbo la Karolina ya Kaskazini, Marekani.
*Julai 2, 1983: Michelle Branch, mwanamuziki maarufu wa Marekani
anazliwa huko, Sedona, Arizona, Marekani.

JULAI 3 KATIKA HISTORIA (JULY 3 HISTORY IN KISWAHILI)

JULy 3: DENIS MARINGO, mwenye blogu hii, anazaliwa.

JULAI 4 KATIKA HISTORIA (JULY 4 HISTORY IN KISWAHILI)

Julai 4
*Julai 4, 1776: MAREKANI inapata uhuru kutoka kwa Waingereza.
*Julai 4, 2001: Dk. Omar Ali Juma, aliyekuwa Makamu wa Rais Tanzania,
anafariki dunia.
*Julai 4, 1960: Sir Ralph Windham anateuliwa kuwa Jaji Mkuu wa
Mahakama Kuu ya Tanganyika.
*Julai 4, 1976: Makomandoo wa Israeli wanawaokoa mateka 229 wa ndege
kutoka uwanja wa ndege wa Entebbe, Uganda.
*Julai 4,1979: Ahmed Ben Bella, Rais wa zamani wa Algeria, anachiwa huru.
*Julai 4,1999: Pete Sampras anambwaga Andre Agassi katika ubingwa wa
tenisi duniani kwa wanaume, kombe la Wimbledon.
*Julai 4,1999: Lindsay Davenport anambwaga Steffi Graffi katika
ubingwa wa tenisi duniani kwa wanawake, kombe la Wimbledon.
*Julai 4,2004: Roger Federer anambwaga Andy Roddick katika ubingwa wa
tenisi duniani kwa wanaume, kombe la Wimbledon.
*Julai 4,2001: Abiria wote 352 katika ndege namba 352 wanakufa
inapoanguka huko Burdakovka.

JULAI 5 KATIKA HISTORIA (JULY 6 HISTORY IN KISWAHILI)

JULAI 5
*Julai 5, 1980: Kesi ya mauaji ya raia katika mahabusu ya polisi
iliyoutingisha mji wa Mwanza inamalizika baada ya watuhumiwa wane
ambao ni maofisa waandamizi wa polisi kuhukumiwa kifungo cha miaka
saba jela kila mmoja na Jaji Nassor Mnzavas wa Mahakama Kuu Kanda ya
Mwanza ambaye anawatia hatiani kwa kumuua bila kukusudia Masanga
Mahula Mazegenuka mnamo Januari 1976. Wanaotiwa hatiani ni pamoja na
aliyekuwa Kamanda wa Polis wa Mkoa wa Mwanza, Isaias Kasian Mkwawa,
Askari Usalama wa Mkoa Godfrey James Ihuya, na wengine wawili.
*Julai 5, 1993: Watu 32 katika kijiji kimoja cha Uturuki wanauawa na
wanamgambo wa kabila la Kurd.
*Julai 5, 1985: Robert Mugabe anashinda uchaguzi Mkuu na Kuwa Waziri
Mkuu wa Zimbabwe. Zimbabwe ilipata uhuru mwaka 1980 na Mugabe
anaendelea kuongoza nchi hiyo hadi leo..
*Julai 5, 1973: “Live and Let Die” sinema maarufu ya James Bond,
inaonyeshwa kwa mara ya kwanza.
*Julai 5, Julai 5, 2003: Serena Williams anamshinda dada yake Venus
Williams katika fainali za mchezo wa tenisi za Wimbledon zinazotoa
bingwa anayeheshimika zaidi wa mchezo huo duniani.
*Julai 5, 1997: Martina Hingis amsmshinda Jana Novotna katika fainali
za Wimbledon (wanawake) na kuwa mchezaji bora zaidi wa tenisi wa